Alitenda kosa kubwa. Yeye kama mtendaji Mkuu aliweza kabisa kutoa hizo reservations na hata kukataa kwenye kikao kilichoamua kutoa hilo tamko. Kutoka na kwenda kulizungumzia kwenye FORUM ndogo kama WAWATA (Wanawake Wakristo Tanzania) ni kujidhalilisha na undumila kuwili.
Gwajima alisema kweli, ila tu alizindisha kwa Hasira alokuwa nayo. Pengo ndiye avuliwe Uaskofu wa jimbo kuu la Dar kwa kuwadhalilisha Maaskofu wengine pamoja na Kanisa Katoliki kwa "kuufyata" mbele ya 'homeboy' wake Pinda. Ukabila ulimponza.Kuna msemo unaosema kuwa "Ukiwa mtupu huku umevaa Msuli...
Kweli MKUU. Lakini cha ajabu zaidi Pengo akiwa ndiye Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania, na vile vile mjumbe wa TEC kama askofu Mkuu wa Dar alishindwa nini kuita mkutano wa WanaHABARI KUPINGA MSIMAMO huo WA mAASKOFU na akaamua kuzungumza KWENYE KIKAO CHA kinamama?
Spika Anna Makinda yuko right kabisa kumnyima kuaga Bungeni. Alichosema Mh Aden Rage ni sahihi kabisa. Ingekuwa ni 'mahoka' kama angeruhusiwa kuaga bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.