Pamoja na Askofu Pengo kutamka kumsamehe Gwajma, na pia familia ya Gwajma pamoja na viongozi mbalimbali wa kidini kumsihi amwombe askofu Pengo msamaha, Gwajma anapaswa kuvuliwa uaskofu ili kulinda heshima ya ukristo duniani.
Pamoja na Askofu Pengo kutamka kumsamehe Gwajma, na pia familia ya Gwajma pamoja na viongozi mbalimbali wa kidini kumsihi amwombe askofu Pengo msamaha, Gwajma anapaswa kuvuliwa uaskofu ili kulinda heshima ya ukristo duniani.
Kwa niaba ya maaskofu na wachungaji:
Katibu: Askofu Dr. Dramas Mukassa
hapana, Aboubakari anamapengo, sasa alivyosikia gwajima kamtukana pengo alifikiri ni mapengo yake, akakimbilia polisi, sasa kama unavyojua polisi wetu asilimia kubwa ni darasa la saba na wale wa form 4 walapata fail, kwa maana hiyo kichwa kiko wazi, wakachulia kesi kikichwa kichwa tu. Ata hao polisi ukiwauliza kesi inahusu nini hawajui, ndo maana walikuwa wanamuhoji maswali yasio husiana na kesi husika kabisa. Baada ya kuwa kituoni wakubwa kadhaa wenye chuki ya kisiasa na jamaa wakaona hapo ndo mahali pa kummaliza ndo unaona hayo mambo sijui kumtorosha, mara bastola, yote ni plan iliyopangwa kisiasa zaidi, hapa wala Pengo mwenyewe hausiki.Daaaah abourbakar kaanza lini kua pengo
Pamoja na Askofu Pengo kutamka kumsamehe Gwajma, na pia familia ya Gwajma pamoja na viongozi mbalimbali wa kidini kumsihi amwombe askofu Pengo msamaha, Gwajma anapaswa kuvuliwa uaskofu ili kulinda heshima ya ukristo duniani.
hapana, Aboubakari anamapengo, sasa alivyosikia gwajima kamtukana pengo alifikiri ni mapengo yake, akakimbilia polisi, sasa kama unavyojua polisi wetu asilimia kubwa ni darasa la saba na wale wa form 4 walapata fail, kwa maana hiyo kichwa kiko wazi, wakachulia kesi kikichwa kichwa tu. Ata hao polisi ukiwauliza kesi inahusu nini hawajui, ndo maana walikuwa wanamuhoji maswali yasio husiana na kesi husika kabisa. Baada ya kuwa kituoni wakubwa kadhaa wenye chuki ya kisiasa na jamaa wakaona hapo ndo mahali pa kummaliza ndo unaona hayo mambo sijui kumtorosha, mara bastola, yote ni plan iliyopangwa kisiasa zaidi, hapa wala Pengo mwenyewe hausiki.
Huu uhuru wa kuabudu unakwenda mbali sasa Lazima sheria zikazwe zaidi kwa hawa wachungaji wahuni kama gwajima na wenzake.Pamoja na mambo mengine kuna sababu ya kupitia upya huu uhuru wa kuabudu uliopitiliza....Gwajima aje mbele ya jamii aombe radhi kwa kutoa matamshi yasiyokuwa ya kiungwana ilihali akijua yeye ni mtumishi na kwamba ana wafuasi wengi na kwamba aliyetolewa matamshi hayo ni kiongozi pia ambaye angeweza kuwasiliana naye kwa njia ya kistaarabu!
Kumbe siku hizi tunamaaskofu wajinga kiasi hiki siamini kama ndiyo viongozi wa dini kumbe ni makundi ya wahuni tu.
Makanisa/madhehebu mbali mbali ndo yapi hayo kwa nini hayatajwi?