Nauza kiwanja kipo kigamboni eneo la mwasonga opposite na KISALAWE B SECONDARY, kina ukubwa wa ekari moja. Bei ni sh ml 13 au ukitaka nusu ekari ni sh ml 6,500,000. Maelewano yapo.
Kina nyaraka za serikali za mitaa, mawasiliano 0712293766. ASANTENI.
Habari ndugu zangu, nauza kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja,kipo kigamboni Mwasonga opposite na sekandary ya kisalawe B. Ni cha kwangu mwenyewe,nauza kwakuwa ninashida ya ADA ya masomo,hakuna hati ila kina document za serikali za mitaa. Ni sh ml 16 tu. Tafadhali kama unaweza kukinunua naomba...
Huyu waziri na katibu MKUU wake hamna kitu,taasisi za elimu zilizojngwa chini ya wizara yake ikiwamo chuo cha taifa cha utalii viongozi wamefuja sana Mali ya umma na inajulikana wazi kabisaaaa,na uongozi uliotangulia kwa maana ya katibu MKUU aliyekuwepo alishaanza kulishughulikia,lakini baada ya...
breaking news
Afsa mtendaji wa kijiji afungiwa ofisi baada ya kushindwa kuafikiana na Mw/kit wa kijiji pamoja na wajumbe.
update caming......
Siku nne zilizopita katk kijiji cha Mlimba (w)Kirombelo kulikuwa na mkutano mkuu wa hadhara, agenda kuu ni kusoma mapato na matumizl.
Kwa...
police wawili wameuwa kikatili huko mbagala na watu wasiojulikana na kutokomea kusikojulikana.wamefanikiwa kuwanyang'anya silaha na kutokimea nazo. source mtu aliye ndani ya jeshi la police
ndugu yangu yericko, watanzania wengi uwezi wao wa kufikiri ni mdogo sana, badala ya kutafiti wao wanakurupuka na kuropoka tu, na hii mada ingetolewa na mzungu ungeona wanavyokenua meno na kushangilia na hata wasijue wanashangilia nn. Narudia tena watakaoekewa hii mada ni wachache sana.
yeriko hii mada yako watakaoweza kukuelewa ni wachache sana kwasababu wenye akili ni wachache sana hapa tanzania na duniani kwa ujumla. Ila nashukuru kwakuwa kuna baadhi ya watanzania wana akili, sema tu majinga ndo mengi, badala ya kujadili hoja wanakimbilia kwenye vitabu vya historia, ambavyo...
Utakuta kuna mwanaume ana Sura ya ajabu, sura ya kutisha, sura utafikiri anakunywa Gongo kila saa, mpaka wanawake wanamuogopa kumuangalia. Mwanaume kama huyu mwanamke gani atamtaka, mwisho wake wananza kutumia wapambe kumpelekea pesa huyo mwanamke. Mwisho wa siku tamaa ya wanawake hujishitukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.