Search results

  1. G

    Tido mhando na ajira yake, jeff koinage na taaluma yake

    Sisi wabongo wachoyo wa credit, na hutoa credit kwa mtu asiyestahili. Hivi umeshajiuliza na kukumbuka kabla ya Tido kuwa mkurugenzi wa TBC, enzi hizo TVT ilikuwaje? Nani alikuwa anaangalia hiyo channel? Huenda kweli Tido ana matatizo yake, lakini siwezi kumkosoa kwa mageuzi makubwa aliyofanya...
  2. G

    Ni vifaa gani vinahitajika ili kurusha Live Matangazo ya TV(Tanzania)

    jamaa vifaa wanavyo vya kutosha, isipokuwa tatizo lipo kwenye njia ya transmission. mara nyingi matangazo hurushwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa kutumia microwave link, satellite au internet.satellite link ya 30 minutes inaweza kugharimu up to $1500, ingawa broaband internet inaweza...
  3. G

    Elections 2010 BBC wamemsusa Slaa kabisaaaaaaa!!

    mwanzo nilikuwa siamini kuwa baadhi yetu hapa JF tunapenda uzushi, haya mnayoyasema ni kujifurahisha au mna uhakika nayo? sikilizeni matangazo kwanza muone CHADEMA na Slaa wamesikika mara ngapi kabla ya kugombana na keyboard zenu. Dr Slaa kapewa over 30 minutes siku ya Alhamisi, zaidi ya hapo...
  4. G

    Elections 2010 Matangazo ya Uchaguzi 2010 - BBC kutoka Dar Es Salaam

    Fuatilia matangazo maalum ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC, moja kwa moja kutoka Dar Es Slaam. Kila siku kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa tatu usiku. Bofya hapa.
  5. G

    MacBook Pro 2010 inauzwa

    MacBook Pro ya May 2010 inauzwa. Bei ni USD 1,800 (ikiwa dukani ni USD 2,200). Specs zake ni kama ifuatavyo:- Monitor: 15-inch Processor: Intel Core i7 2.66GHz Memory: 4GB Hard drive : 500GB Card slot: SD Battery: Built-in battery (8-9 hour) Intel HD Graphics Graphics card: NVIDIA...
  6. G

    Zantel na Zain wapunguza gharama za internet

    Soko la internet bado ni changa, isipokuwa kwa mtizamo wangu muhimu zaidi ni download/upload speed kuliko bandwidth limits. Kwa mfano unaweza kuwa na 8GB bandwidth au tuseme hata unlimited, lakini speed ni 128kbps, itakuwezesha ku-download torrents za movie 20 - lakini ikakuchukua mwezi...
  7. G

    Mwandishi wa BBC akamatwa kwa kuhoji shule kukosa vyoo Mwanza

    Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Eric Nampesya, leo Ijumaa asubuhi alikamatwa na kuwekwa mbaroni baada ya kukorofishana na mkurugenzi wa jiji la Mwanza - kisa alienda kufuata reaction kwanini shule nyingi hazina vyoo vya kutosha? Nampesya alifanya story iliyo-highlight watoto wa shule...
  8. G

    Jirani zetu Kenya licha ya matatizo yao, wanapiga hatua kuyatatua

    Nimevutiwa na huu mradi ambao nilipokuwa Kenya hivi karibuni nilishuhudia ukianza kuonekana ni jinsi gani utaondoa tatizo sugu la msongomano wa magari kuingia na kutoka mji mkuu Nairobi. Ni mradi wa barabara ya Thika, bofya hapa uone. I'm sure serikali yetu ingekuwa na fikra nyoofu wangekuwa...
  9. G

    Elections 2010 Kinana Vs Prof. Mwesiga Baregu leo BBC

    Ngoma hii hapa, special link hii hapa Profesa BAREGU na Kinana
  10. G

    Elections 2010 Kinana Vs Prof. Mwesiga Baregu leo BBC

    Audio link (verified) hii hapa Baregu vs Kinana
  11. G

    Ushawai tumia Google Translate? hebu jisomee hiyo Stori.

    It will take time and effort to polish the product, tatizo mojawapo ni kwamba hakuna content ya kutosha ya kiswahili online kuwezesha algorithm ya google kupata meaningful translation. Sehemu nyingine kunatakiwa manual translation, mathalan, methali na misemo haviwezi kutafsiriwa na softaware...
  12. G

    Neno Kabla ya IT & COMMUNICATION SUMMIT 2010

    Hakika nakubaliana na Shy, Jumanne nilisikia BBC Swahili wakitangaza kuhusu ihub,na tunajua Ushahidi imepata umaarufu kote duniani - si kitu cha ajabu ni idea iliyozaa software yenye practical use katika global scale. Taznania tunakosa focus na priority ya nini muhimu cha kufanya kwa taifa...
  13. G

    Unamlindaje mwanao na mtandao

    shy unaandika mada za maana sana, zenye fikra endelevu katika maswala ya tekno kwa ujumla. lakini wenzangu mbona michango ya mawazo patupu? mathalan hili swala la kulinda watoto wasiathirike na yanayopatikana kwenye wavuti (internet). kwa sisi wana JF kukaa kwetu kimya ina maana athari hizi...
  14. G

    Msaada tutani

    by the way mbona bado unatumia XP SP2? kuna faida nyingi za ku-update kwenda SP3 ikiwa ni pamoja na stability na security ya XP kwa ujumla. ni ushauri tu.
  15. G

    PC sometimes inashindwa ku-reboot from hard disk, why?

    inahitaji investigation zaidi je inapogoma ku-reboot inatoa error message yoyote au inakuwa black (as black screen of death)? inawezekana ilikuwa reset ifanye booting kwa device nyingine tofauti na hard drive - CD au USB katika BIOS. anyway, kabla sija-speculate na kukupa ushauri mbovu, toa...
  16. G

    Dell optiplex gx620

    huwa si rahisi kuelewa chanzo cha tatizo kama hilo kwa urahisi, especially kwa kuwa mashine ni used - huenda aliyekuwa nayo awali aliichokonoa. lakini mara nyingi linaweza kuwa ni tatizo la drivers (software inayowezesha kifaa kama hicho kufanya kazi katika kompyuta). hakikisha kompyuta yako...
  17. G

    Kwa website hizi kazi bado ipo

    Huwezi kuweka league moja globalpublishers ambao content yao ni tabloidish ukawalinganisha na DailyNews + Ippmedia + Mwananchi ambao wanaandika serious stories. Hivyo ndiyo tunavyo-categorise news outlets, no offence, sorry nilitumia technical language. Ni kama Shy ukasema "backend" kuelezea...
  18. G

    Kwa website hizi kazi bado ipo

    Nimeangalia kwa karibu website za media organisations za Tanzania, pattern inayojitokeza ni kwamba pamoja na kuwa na poor editorial content, lakini pia kuna kila dalili za shody designs na dodgy optimisation. Mathalan, siku hizi feeds ni sehemu muhimu ya website inayofanya regular updates...
  19. G

    Kwa mtindo huu scammers watawakamata wengi

    mzee njia pekee ni kutumia internet security tools za uhakika, mimi nimejaribu kuifungua address, nikapata warning kuwa ni malicious site. so fix your security issues.
  20. G

    ~!~ Hii ndiyo Katiba ya CCJ ~!~

    Shukran Mwanakijiji, Katiba nzuri, je unaweza kutupatia lineup ya uongozi wa muda wa CCJ?
Back
Top Bottom