TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo...
Magufuli na Msafara wa wataalarm kutoka Wizara ya Ujenzi anatembelea barabara ya changarawe kutoka Mpanda kwenda Tabora yenye urefu wa kilomita 359 kwa gari. Pia amekagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya mkuu wa Wilaya ya Mlele katika mji mdogo wa Inyonga Mkoani Katavi.
Msafara wa Dk.Magufuli...
Leo Magufuli akiwa ziarani amelazimika kushuka katika mji mdogo wa Tunduma wananchi waliziba barabara na kuanza kuimba Jembe Jembe!!
Ni vigumu sana kwa mwanasiasa kutoka CCM kuhutubia katika mji mdogo wa Tunduma na akakubalika.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kukamilika kwa barabara ya Ndundu- Somanga (Km 60) na kuwataka wakazi wa mikoa ya kusini kuitumia vizuri barabara hiyo kuibua fursa za kiuchumi na hivyo kujiletea maendeleo.
Dkt. Magufuli alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam mara...
Ile ahadi ya Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli ya kununua kivuko kipya kitakachotoa huduma ya usafiri kati ya Jiji la Dar es Salaam na mwambao wa Bahari ya Hindi hadi Bagamoyo imetimia. Taarifa za uhakikia tulizozipata hivi punde ni kuwa kivuko hicho (Mv Dar es Salaam) kilichokuwa kinajengwa na...
"Adai kamwe hatakuwa tayari kufukuzwa kazi kutokana na uzembe wanaoufanya"
Namtumbo. Waziri wa ujenzi, Dk John Magufuli ametoa onyo kwa makandalasi wabovu wanaojenga barabara chini ya kiwango kuwa kamwe hatakuwa tayari kufukuzwa kazi na Rais Jakaya Kikwete kutokana na uzembe wao, bali...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (aliyeshika mkasi) akikata utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Bwanga – Biharamulo. Kushoto kwa Rais ni Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John P. Magufuli na kulia kwa Rais ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Eng...
Napata shida na hoja ya Mh.Zitto kuhusu upotevu wa hela anaodai wizara ya Ujenzi wamekula, anahoji fungu zima bila kuainisha ni miradi ipi(aitaje kwa majina) iliombewa fedha hizo special na kupitishwa na bunge. Nasema hivyo itakuwa sasa ni vyema wizara ikaulizwa kama miradi hiyo haikuwekewa...
Katika pita pita zangu mtandaoni nimeweza kupata habari ambapo Dr.Magufuli alikuwa kati ya waliohudhulia Davos (Economic Forum) kule Uswis akiwasilisha changamoto na uhusishwaji wa sekat binafsi katika kundeleza miundombinu ya barabara nchini Tanzania. Zifuatazo ni kati ya picha za Rais wa...
Wana JF katika kuonyesha Dr.Magufuli na Odinga lao ni moja kwa taarifa nilizozinyaka na ni za uhakika ni kuwa Mh. Raila Odinga yupo Tanzania kumtembelea rafiki yake kipenzi Mh.Dr John P.Magufuli ambapo nimebahatika kupata baadhi ya picha kama mtakavyoziona hapo chini.Na inavyoonyesha ziara hii...
Wana JF habari za uhakikia nilizozipata hivi punde ni kuwa Waziri wa Ujenzi kutoka Tanzania Mh Dr.John Magufuli na Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai wamekaribishwa na Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga
kuhudhulia uzinduzi wa Kampeni uchaguzi mkuu wa Kenya utakaofanyika mwanzoni mwa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.