Mimi nimefurahi kwamba budget ya Kenya pia imezingatia maoni ya wakenya kupitia Facebook, tweeter na si ajabu JF pia. Kuandika kwa ufupi ni ishara ya IQ!
Sioni shida Maguli anatufaa kwa tabia yake ya kufuata sheria. Sheria haina kufikilia. Katika sheria unaifuata ilivyoandikwa. You dont care about consequences! Magufuli anaweza akawa msemaji mzuri bila madaraka lakini kama ukimya wake unampa nafasi ya kuwa waziri na hatimaye kutimiza malengo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.