Kweli kabisa tena amekiri kuwa yeye Diamond alikua akihangaika na mahusiano mengine lkn mdada alitulia. Lkn hii statement ya kwamba Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda nahisi ni defence tu. Fact ni kwamba wote wameachana haijalishi nani alianza kumuacha mwenzake maana naona kijana anaifanya...
Duuh masikini dada wa watu. Inasikitisha kuona jinsi wadada wanavyofurahia maumivu ya mwenzao na kumsifia playboy mmmhh bado tuna safari ndefu. Kijana anachezea wadada atakavyo hadi inatia kinyaa
Huu wimbo naupenda sana aisee . Na kuna muimbaji mwingine anaitwa kim walker smith daaah nyimbo zake zoote nazipenda kama 10000 reasons...., i need you more ...
Hahaha tatizo letu huwa hatuna uwezo wa kusimamia tunachokisema. Vivyo hivyo hao uliomention hapo juu nachelea kuamini kama wanamaanisha wasemacho. Rudi kwenye ile issue ya katiba
Kwa bahati mbaya wao wanaamini kuwa wanayo hati miliki ya kutawala na wengine hawana haki ya kufanya hivyo. Maendeleo yatachukua muda mrefu sana kuyafikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.