Yaani nchi hii mnaenda hatua moja mbele mnarudi mbili nyuma. Alianza kuharibu yulee na wakawa wanampigia makofi, na sasa wameona mziki wake. Mambo hayaendi
Umeongea ukweli mkuu. Waziri wa fedha ni cheo kikubwa sana. Ila huyu toka apewe hiki cheo ni mwendo wa kuzurura tu na kumpamba mama. Hajawahi kuleta jipya na wala tusitarajie cha maana kutoka kwake. Hopeless
Kimya kingi kina kishindo. Usimdharau usiyemzaa. Israel bila msaada wa Marekani na washirika wake ni mwepesi sana.
Jambo usilolijua ni historia ndefu ya mashariki ya kati hususan waajemi. Hawa jamaa kihistoria hata wakiishiwa bunduki hupigana kwa kutumia mawe na mapanga. Ukitaka kujua...
Hii ni mikakati iliyopangwa siku nyingi. Wanaomuunga mkono Israel wanajua kwamba nchi zinazozunguka Israel hazizungumzi lugha moja. Wamefanikiwa kuwagawa waarabu na waislamu. Hivyo ni wakati mzuri kwa Israel kuwaangamiza maadui zake
Pamoja na haya uliyosema ila tutakapofikia hatua ya kutenga siasa na taaluma tutafika mbali sana. Mathalan mtu akitaka kuwa mkurugenzi wa Tanesco sharti ateuliwe na Rais. Hii si sawa hata kidogo. Tukitaka kupata viongozi wenye sifa sharti waombe kazi, wafanyiwe usaili na wachujwe kwa sifa zao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.