Mwanamke anayezungumzia pesa, pesa huyo hata ukimuoa ukiwa na pesa wakati zikitoweka atatafuta chaka lingine lenye pesa.
Kufupisha mambo yasiwe mengi mwanamke huyo hafai maishani hao ndo wanaofanya wanaume kuwa matapeli na majizi ili mke aridhike.
Haya furahia maisha lakini haina Baraka hiyo pesa na nadhani kama huyo mwanamke naye hana shida na hiyo pesa isipokua ameona njia ya kukupata ni hiyo sasa sijui nani ni nani hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.