Nikikupa list ya movies nazo taka ziko kama 18 ni animation za watoto (cartoons) unaweza kunifanyia downloads kwa flash nikupe hela? Kama you can call me/sms me 0784808080 ASAP
Macbook yangu inazingua wifi!
Acer yangu inazingua keyboard, baadhi ya letters ni ngumu ku press na zingine loose!
Nahitaji wireless connectivity at my house, je wewe ni isp pia?
Mimi Ni mTanzania. Nakula Mirungi kila Jumatano, Ijumaa na Jumamosi. Napiga kazi yangu vizuri, baada ya kazi napiga gomba, mti unapanda kichwani na bishara yangu inaendelea, nashanga tunaakili mgando na kuikataza nchini kwetu, compare madhara ya pombe na mirungi na uone kipi kibaya zaidi.
Hapo...
Habari wadau,
Nilikuwa ughaibuni mudaa wa miezi 6. Nimerudi jana, naomba msaada kufahamu kama uchaguzi wa manispaa umeshafanyika!? Na kama tayare, waheshimiwa ni kina nani! Nina shida na manispaa ya Ilala ambayo previously alikuwa ni Bwana Slaa, je amefaulu uchaguzi? Na kama sio, nani ameshika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.