Maneno aliyosema gwajima ni uchochezi wa kidini full stop. Huhitaji elimu kugundua hilo, hata angekua sheikh ndio kaota na kuhadithia ndoto yake kwamba makanisa yote yatageuka madrasa pia ni uchochezi wa kidini wa hali ya juu. Lazima akemewe na wapenda amani, umoja na utulivu wa nchi hii...
Sisi wataalam wa china, pale Guangzhou tunakula chakula cha kibongo long time😂😂
Ukiingia kwa dada Kulwa pale tinxiu building ugali na vikorombwezo vyote vinapatikana muda wote na kama msosi umeisha basi unapikiwa.
Nafikiri haujajua tatizo linaanzia wapi, sio kila kitu unaleta siasa na chuki zisizo na tija. Ni vizuri comment as a great thinker ili wadau wafaidike na ndio "MOTO" ya JF au kaa kimya sikiliza wajuzi.
Anyway turudi kwenye mada, Mr Mansoor anaruhusiwa kisheria kumiliki silaha za aina hiyo na...
Naomba nitajie familia 5 za wasomali wanaoishi Tabora kwa sasa,
Sio kweli wasomali ni wengi tabora! Nadhani huijui vizuri Tabora na labda nikusaidie kutaja kuna family moja ipo mtaa wa ngoma sakasi halafu nyingine ipo pembeni ya msikiti wa manyema ingine pale rufita ya kina rage. Family ya...
Baada ya kutafakari saana nimepata jibu, mnunulie charahani ya umeme tatizo litakwisha. si unajua ile charahani ya kawaida miguu inakua inacheza speed muda wote hapo inatengeneza friction kwenye papuchi basi kutwa nzima anapiga mabao ile mbaya ndio maana hana hamu kabisa haa haa haaaa.
Habari,
Maneno uliyoyaleta hapa JF ni ya uongo, Mpaka sasa hakuna duka la MCHINA kitumbini linalouza bidhaa za dukani kwa jumla au hata kwa rejareja na halijawahi kuwepo kabla. kulikua na duka la mchina anauza used computer mtaa wa Libya opp Oilcom ambalo hivi sasa limefungwa na lingine lipo...
[COLOR="#000000"][/COLOR
Habari Kaka,
Naona unaihusisha CCM na msururu wa vifo vinavyotokea Arusha lakini unasahau kwamba kila kifo kimetokea
kwa namna tofauti kwa mfano kuna ambaye amepata ajali ya ndege na mwingine ameanguka kutoka gorofani nje ya nchi. Hawa waliofariki leo sio wafadhili wa...
Nahisi tumepishana miaka kati yangu mimi na wewe maana hao uliowataja hata mimi siwajui kama ilvyo wewe humjui Patel, Alikuwepo Uyui sec as head master kama sikosei mpaka early 90s
Dahhh Kumbe Steve alifariki!!! R.I.P Bro
Nani anamkumbuka power chuma?
Kuna mtu anaijua REMEMBER MEMBER Uyui sec?
Huyu Sheikh Ilunga alikua mchezaji mzuri wa basket, Kuna mtu anakumbuka?
R.I.P Major.
R.I.P Mzee Kassimu muuza kahawa wa diamond.
R.I.P Issa Kibira.
Nani anamkumbuka Chande mwehu...
Hii habari ya hawa M23 kuionya Tanzania hainitishi sana kama hii ya wanajeshi wetu kushirikiana na wanajeshi wa Malawi kuunda hicho kikosi! tukizingatia mgogoro wetu na Malawi kuhusu Lake Nyasa.
Itakuwa ndio wanasomana mbinu na uwezo wa kijeshi au labda wanaweza hata kupigana ha ha haaa.
I think...
Kweli mimi mwenyeji pale lakini wewe nakupa salute, kuna watu umenitajia mwenyewe nimechoka mfano Adam gosho,Makamba jeki haa haaa haaaa...katika wachezaji usimsahau wastara bari bari. kuna mtu alikua anaitwa albanda wiii kwa kula huyu jamaa hata makamba jeki anasubiri. Ahh Uyui Sec nakumbuka...
haa haaa haaa, leo napata story za long time.
Katika vichaa wa Tabora MALINGUMU ndio mkurugenzi wao.
Hajawahi kutokea mchezaji mkali wa milambo kama Feruzi Teru alikua nooma.
Hakuna mtemi kama brother Mwene.
Mwizi namba moja ni kandege wengine wanafatia
Black scorpion hili kundi lilikua balaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.