Binafsi sio haja ya kufanya uchaguzi mwingine kwa uharamia walioufanya ccm. Ni wakati sasa wa kuwaacha watanzania waburuzwe kwanza na ccm mpaka watapoamua kukiondoa hiki chama na utawala kwa maandamano.
Kama umefuatilia kampeni utaona mgombea urais ccm alikuwa akimlaumu rais anayemaliza muda wake kwa vijana kukosa ajira, sasa wewe na unafiki wako unasema wameajiriwa liwe funzo.
Mkuu punguza woga mwisho wa dunia bado sana, jambo la msingi ni kuandaa maisha yako tu ili siku ukiaga dunia basi iwe heri huko uendako vinginevyo haya yanayiendelea yanabaki kuwa changamoto za hapa dunia. Wataalamu wanaeleza changamoto upande mwingine ni muhimu maana zinakuwa zime wachallenge...
Habari wana jf, natumai wote tunajua yaliyojiri leo pale kisutu. Viongozi wa chadema wamehukumiwa na inatakiwa pesa walipe faini ili warudi uraiani kuendeleza mapambano ya kudai demokrasia ndani ya nchi yetu. Ukiwa kama mtanzania mpenda demokrasia basi nikuombe uchangie chochote ili mpaka kesho...
Mkuu kwa nini unateseka Chadema ni chama cha wananchi ni tegemeo pekee kipo mioyoni mwao, just sit back relax ujionee maajabu...ukisikia people's power ndio hiyo sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo viwatilifu vinataka uwe na taarifa za kutosha, kuna jirani yangu alitumia kupalilia mahindi cha moto amekiona mwaka huu hataambulia kitu ekari nzima imeathirika na hizo dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.