Search results

  1. P

    A day in the Buddhist college

    Kaka, Kama meditation inasaidia kuona mambo yajayo, ni kivipi wakufunzi/ ma-master wenu hawakuweza kugundua maovu yenu, kama kutoroka, au kushiriki katika ibada za ajabu za dini nyingine? Kuwahisi wageni wabaya? Kumiliki siraha? Au kwanini hawakuweza kuzuia mambo mabaya yasitokee hasa kwa...
  2. P

    Je! Ni Kweli BVR Machine zina Background Database of Pseudonames?

    Hilo linawezekana, tena kirahisi sana kuingiza majina fake kwenye database. Kimsingi swali hiyo database ipo inasimamiwa na nani? Na hao waandikishaji wamepewa uhuru kiasi gani wa kuingiza majina kwenye database
  3. P

    Car4Sale Nissan Cube kwa Milioni 7 TSH Tu! Onsales !

    Kwa maelezo zaidi, picha nyingine na details za gari tuwasiliane kupitia 0674924076 au ni- PM Kwa Mteja serious tu!
  4. P

    Car4Sale Nissan X-Trail for Sale contact 0674924076

    Bei ni maelewano, ukinipigia simu au Jumbe nitakujulisha. Aksante
  5. P

    Car4Sale Nissan X-Trail for Sale contact 0674924076

    NISSAN X-Trail Maker: Nissan Model: X-Trail, Mileage: 71,149KM Engine:2000cc Fuel: Regular Gasoline Transmission : Automatic Color: Red Doors:5 CONTACT; 0674924076
  6. P

    Magari mazuri kutoka Japan

    NISSAN CUBE 2002 Light Blue Maker: Nissan Model: cube, Mileage:48944 Engine:1400cc Fuel: Regular Gasoline Transmission : Automatic Color: Light Blue Doors:5 Price:$4999/- NISSAN CUBE2005 Silver Maker: Nissan Model: cube, Mileage: 71,149KM Engine:1500cc Fuel: Regular Gasoline...
  7. P

    Hotuba ya Pieter Willem Botha aliyekuwa Rais wa Afrika ya Kusini ya Makaburu

    Chanzo cha matatizo ya bara la Africa sio uchumi au siasa, chanzo halisi ni matatizo, shida na ufukala wa hao watu tofauti na weusi na hizo lagha na dhana za ubaguzi wamezihamasisha na kuzifanya wao, hivi kiukweli kabisa nani ni mbaguzi? Na hizo dhana za kuwa mwafrika ni kielelezo cha umaskini...
  8. P

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Hakuna cha maana mnachotafuta zaidi ya kutafuta mchawi wa maovu yenye! Mnatafuta sababu ya kushidwa kwenu! Kama suala ni Nyerere alikwisha sema nakuwa malaika na mlitakiwa kuendeleza misingi na mambo mazuri aliyoyafanya na kuyaacha mabaya. Lakini msululu wote wa maraisi mmeishia kumlaumu bila...
  9. P

    Ukweli Kuhusu Electronic Fiscal Devices ( EFDs)

    Mod, kama inawezekana nakuomba ufute posts za hasira na zisizo na lugha nzuri. Huu uzi sio wa ugomvi au wa kisiasa ni moja ya swala muhimu na la msingi katika taifa letu. Huu mradi pia utasaidia kujenga maadili katika biashara, hata mambo ya nipunguzie nipunguzie yatapungua au mambo la...
  10. P

    Ukweli Kuhusu Electronic Fiscal Devices ( EFDs)

    Wizi utakuwepo kwa kiasi kidogo na utapungua kwa kiasi kikubwa kama TRA wamedhamilia kufanya Mapinduzi ya kweli katika ukusanyaji wa kodi, kama wamejipanga, wanajua ni divice ipi inafaa kwa mazingira ya technology ya tanzania na wakatueleza ni jinsi gani watamonitor, watamanage na ku-control...
  11. P

    Ukweli Kuhusu Electronic Fiscal Devices ( EFDs)

    kwanza kabisa kama ilivyotanabahishwa kwenye website ya TRA(Tanzania Revenue Authority - E-Fiscal Devices (EFD)) kuna aina tatu za EFDs, TRA na Serikali wanatakiwa kuchambua wazi ni aina ipi ya hizo devices ambayo inafaa kwa kwa mazingira yetu ya Kitanzania , aina ipi ni kwa kundi lipi la...
  12. P

    Wafanyabiashara wenye maduka Kariakoo wagoma kufungua Maduka wakipinga mashine za TRA

    Wakuu Tufanye Kauchunguzi kadogo kuhusu hizi Electronic cash Ragister, na kwa kuanzia Tuanze na bei stahiki, kwa mfano Nchi ya Republic of Georgia ni Georgian Lari GEL350 ( The price of the cash register and its maintenance), ambazo si zaidi ya TSH330,000/- link; Cash Registers kama wewe...
  13. P

    Obama kama Kikwete au Kikwete kama Obama!

    http://youtu.be/7alb_iN1QHo
  14. P

    Obama kama Kikwete au Kikwete kama Obama!

    http://youtu.be/7alb_iN1QHo US President Barack Obama shows off his soccer skills - YouTube Niukweli Kikwete amewahi kuwatembelea/ kuwaarika ikulu Taifa star, Obama kawatembelea Wanafunzi wa high School, lakini Hapa Obama kidogo kaonyesha uwezo wake wa kujua Mpira na kufanya mazungumzo ya...
  15. P

    Suzuki curry (540cc) kwa Tsh 8ml tu!

    Usiwe na wasiwasi gari iko poa ni bahati mbaya tu nimeipiga picha usiku
  16. P

    Suzuki curry (540cc) kwa Tsh 8ml tu!

    Make Suzuki curry model M-DB71T Engine capacity: 540 cc Mileage: 54769 Year of reg: 1990 Kununua na maelewano tafadhari tuwasiliane kwa email; punguzosokoni@gmail.com au kwa simu 0753461069.
  17. P

    Kimenuka Liwale, mabomu kwa kwenda mbele! Nyumba kadhaa zachomwa moto...

    http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-22282599 About 20 houses have been burnt down in riots by cashew nut farmers and other protesters in southern Tanzania, the local MP has told the BBC. Riots over cashew nuts in Tanzania Last updated 4 hours ago Cashew nuts are one of...
  18. P

    PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

    Aksante kwa kunikundisha! nilisomea chini ya mwembe! lengo ni kujadili maudhui sio kukosoa Lugha! aksante kwa kunisahihisha
  19. P

    PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

    Hadhira hii inatuambia nini? Katika mikutano ya ccm hakuna hadhira ya kiume zaidi ya waandishi wa habari, walinzi na viongozi husika, hali kadhalika picha inaonyesha mikutano ya chadema kuna kina mama wachache , hakuna watoto na hadhira kwa kiasi Fulani ni mchanganyiko lakini imejawa kwa...
  20. P

    Suzuki Curry Truck Kwa Bei ya Maelewano

    Ujanja ujanja Kivipi kaka? sijakuelewa!
Back
Top Bottom