Kaka, Kama meditation inasaidia kuona mambo yajayo, ni kivipi wakufunzi/ ma-master wenu hawakuweza kugundua maovu yenu, kama kutoroka, au kushiriki katika ibada za ajabu za dini nyingine? Kuwahisi wageni wabaya? Kumiliki siraha? Au kwanini hawakuweza kuzuia mambo mabaya yasitokee hasa kwa...
Hilo linawezekana, tena kirahisi sana kuingiza majina fake kwenye database. Kimsingi swali hiyo database ipo inasimamiwa na nani? Na hao waandikishaji wamepewa uhuru kiasi gani wa kuingiza majina kwenye database
Chanzo cha matatizo ya bara la Africa sio uchumi au siasa, chanzo halisi ni matatizo, shida na ufukala wa hao watu tofauti na weusi na hizo lagha na dhana za ubaguzi wamezihamasisha na kuzifanya wao, hivi kiukweli kabisa nani ni mbaguzi? Na hizo dhana za kuwa mwafrika ni kielelezo cha umaskini...
Hakuna cha maana mnachotafuta zaidi ya kutafuta mchawi wa maovu yenye! Mnatafuta sababu ya kushidwa kwenu! Kama suala ni Nyerere alikwisha sema nakuwa malaika na mlitakiwa kuendeleza misingi na mambo mazuri aliyoyafanya na kuyaacha mabaya. Lakini msululu wote wa maraisi mmeishia kumlaumu bila...
Mod, kama inawezekana nakuomba ufute posts za hasira na zisizo na lugha nzuri. Huu uzi sio wa ugomvi au wa kisiasa ni moja ya swala muhimu na la msingi katika taifa letu. Huu mradi pia utasaidia kujenga maadili katika biashara, hata mambo ya nipunguzie nipunguzie yatapungua au mambo la...
Wizi utakuwepo kwa kiasi kidogo na utapungua kwa kiasi kikubwa kama TRA wamedhamilia kufanya Mapinduzi ya kweli katika ukusanyaji wa kodi, kama wamejipanga, wanajua ni divice ipi inafaa kwa mazingira ya technology ya tanzania na wakatueleza ni jinsi gani watamonitor, watamanage na ku-control...
kwanza kabisa kama ilivyotanabahishwa kwenye website ya TRA(Tanzania Revenue Authority - E-Fiscal Devices (EFD))
kuna aina tatu za EFDs, TRA na Serikali wanatakiwa kuchambua wazi ni aina ipi ya hizo devices ambayo inafaa kwa kwa mazingira yetu ya Kitanzania , aina ipi ni kwa kundi lipi la...
Wakuu
Tufanye Kauchunguzi kadogo kuhusu hizi Electronic cash Ragister, na kwa kuanzia Tuanze na bei stahiki,
kwa mfano Nchi ya Republic of Georgia ni Georgian Lari GEL350 ( The price of the cash register and its maintenance), ambazo si zaidi ya TSH330,000/-
link; Cash Registers
kama wewe...
http://youtu.be/7alb_iN1QHo
US President Barack Obama shows off his soccer skills - YouTube
Niukweli Kikwete amewahi kuwatembelea/ kuwaarika ikulu Taifa star, Obama kawatembelea Wanafunzi wa high School, lakini Hapa Obama kidogo kaonyesha uwezo wake wa kujua Mpira na kufanya mazungumzo ya...
Make Suzuki curry model M-DB71T
Engine capacity: 540 cc
Mileage: 54769
Year of reg: 1990
Kununua na maelewano tafadhari tuwasiliane kwa email; punguzosokoni@gmail.com au kwa simu 0753461069.
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-22282599
About 20 houses have been burnt down in riots by cashew nut farmers and other protesters in southern Tanzania, the local MP has told the BBC.
Riots over cashew nuts in Tanzania
Last updated 4 hours ago
Cashew nuts are one of...
Hadhira hii inatuambia nini? Katika mikutano ya ccm hakuna hadhira ya kiume zaidi ya waandishi wa habari, walinzi na viongozi husika, hali kadhalika picha inaonyesha mikutano ya chadema kuna kina mama wachache , hakuna watoto na hadhira kwa kiasi Fulani ni mchanganyiko lakini imejawa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.