Uke hautakiwi kuoshwa kwa sabuni wala kuingiza vidole ndani utakuwa unaondoa au kuua wale bacteria wanaolinda uke (normal flora) hivyo kusababisha kupata magojwa kama fungus, bacteria infection n.k
Sio salama kutumia sabuni ukeni kabisa.
Neno ''Karama'' maana yake ni kipawa
anachojaliwa mtu kupewa kutoka kwa MUNGU ili
kipawa hicho akitumie kwa mema na sio
mabaya.
Neno ''Kipawa'' maana yake ni uwezo aliozaliwa
nao mtu ambao humfanya mtu huyo kufanya
jambo fulani vizuri.
Pole sana ila ndiyo kazi ya fasihi hapa anawakosoa wale wote wenye sifa hizo ili wajirekebishe ila tatizo hapa fasihi iliyotumika ni ya mtaani sana na isiyo na staha.
Kwanza kabisa pima ujue kama ni yenyewe maana dawa ni nyingi.
Unaweza kutumia Ciprofloxacin tabs 500mg ila kwa ushauri hapa ukipata brand za Egypt, Greece au Germany uhakika sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.