Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, hakuna mtu alieshikilia bango ufisadi kwa nguvu zote zaidi ya Dr Slaa.
Kwa kua Rais wetu ajae Dr Magufuli kasema anataka mawaziri wachapa kazi kama yeye, basi si vibaya akamvuta Dr Slaa kwenye baraza lake ili aongeze nguvu
Dr Slaa ni zaidi ya alivyokua Mrema enzi...
Kaondoka Chris Lukosi - Mwenyekiti Chadema UK
Kaondoka Zitto - Naibu Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Dr Dr. Wilbroad Slaa - Katibu Mkuu Chadema.
Kaondoka Said Arfi - Makamu Mwenyekiti Chadema
Kaondoka Prof Kitila Mkumbo
Kaondoka Mzee Wasira
Na wengine weeengi walioshika nafasi za juu ndani ya...
Ndugu zanguni
Siku hizi kumekua na chuki zikienezwa kati ya wanachama wa CCM na wale wa upinzani/ukawa. Hili sio jambo jema na ni lazima tulikemee
Tanzania ni nchi yetu na sisi sote ni ya kwetu, tusikubali kutumiwa na hawa mafisadi wanaotaka kuchukua dola ili wajitajirishe wao na familia zao...
Ndugu zanguni
Nimefuatilia kwa karibu sana watu walioko nyuma ya Lowassa na nimegundua kua wote wako kimaslahi tu, hakuna mwenye mapenzi na nchi yetu hata kidogo
Tusikubali watu waje kugawana vitalu vya ges na mafuta yetu kama njugu. Hawa watu ni hatari kuliko ebola
Tushtuke watanzania...
Ndugu zanguni
Nimegundua siku hizi hotuba za Lowassa hazirushwi kabisa kwenye video clips au live tv.
Hii ni uthibitisho kua ukawa wanaona aibu mgombea wao akisikika kwa wananchi kwani kila akiongea hua haeleweki jambo ambalo linapelekea watanzania wengi kuanza kushtuka kwani kama mgombea...
Ndugu zanguni,
Nimesikitishwa sana na kitendo cha TV zetu kumpendelea mno Magufuli.
Yaani utaona wanamuonyesha Magufuli akihutubia kwa muda mrefui kweli, wakati kwa Lowassa wanaonyesha muda mfupi tu mpaka tunashindwa kuelewa yale madini makubwa makubwa
Acheni upendeleo, wagombea wote...
Ndugu zanguni
Hivi kweli na akili zenu mnashindwa kuelewa kua hawa watu wamekuja kuwamaliza?
IHebu jiuliae, inakuaje mpaka leo hakuna hata mmoja wao alievaa gwanda?
Kwa nini atoe kauli za kusema atamtoa babu sea na wale magaidi?
Kwa nini kila akipanda jukwaani hua hata hana time ya...
Ndugu zanguni
Kufuatia vijana wengi kuingiliwa na pepo mbaya aliepo sasa UKAWA, ninakiomba chama changu baada ya uchaguzi kifanye kazi ya kuwatoa hao pepo wabaya na kuwapa elimu ya uraia ili wajitambue na waendelee na ujenzi wa Taifa
Hawa ni Watanzania wenzetu na sisi sote ni wamoja, tatizo ni...
Mheshimiwa Dr Slaa
Shikamoo
Mimi kama mmoja wa watu waliowahi ingia chadema kwa sababu ya hoja na misimamo yako nilisikitishwa sana na kustaafu kwako na yote yalitokea ndani ya chadema
Nashukuru mimi nina TV hivyo niliweza kukuona live ile siku taifa zima liliposimama kukusikiliza
Lakini...
Mheshimiwa Dr Slaa
Shikaamoo.
Najua huko uliko u mzima wa afya na unaendelea vyema na mapumziko yako
Mimi kama mmoja wa walioguswa sana na yaliyotokea ndani ya chadema hivi karibuni, nimeona nikuandikie barua hii ya wazi na kukuomba ufanye maamuzi stahiki ya kurudi nyumbani
Kuna raha gani ya...
Ndugu zanguni
Nashindwa kuelewa kwa nini baadhi ya vijana wenzangu wanahangaika na UKAWA bila kujua kua ni photocopy ya CCM.
Hebu niambie kiongozi yupi ndani ya UKawa sio product ya CCM? Lowassa, Sumaye na wengine wote wametoka CCM na maisha yao unayoyaona yametokana na CCM.
Ukawa ni kivuli...
Ndugu zanguni
Nimepokea taarifa nzuri kutoka Mbeya kuwa dada yetu mpendwa Juliana Shonza amepita kwa kishindo kura za ubunge maalum UWT Songwe.
Huu ni mfano mzuri.
Ndugu zanguni,
Leo, kwa mara ya kwanza tokea Chadema iundwe, mbunge wa kutokea Chadema amefurahishwa na kazi ya waziri wa chama tawala. Mheshimiwa Mchungaji Msigwa katika ukurasa wake wa facebook ameandika haya
Peter Msigwa
about an hour ago near Iringa, Tanzania
Nampongeza waziri, Nyalandu...
Ndugu zanguni,
Leo nimeona niulize swali dogo tu kwa ndugu zetu wa Arusha ili nasi tujifunze kutoka kwao
Mwaka 2010 walimchagua rafiki yangu Dk Lema kuwa mbunge wa Arusha, na mara baada ya kuchaguliwa umaarufu wake umeongezeka maradufu kiasi cha kumfanya afahamike kila kona ya nchi.
Sasa...
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, Le mutuz ameshikilia bango suala la mbongo kuchomwa moto Marekani baada ya kukosekana dola $6,000. Lakini nataka niwaulize mnaotukosoa, JE MNAMFAHAMU MARAEHEMU?, MNAWAFAHAMU NDUGU ZAKE?
Katika pitia pitia kwenye mitandao na baada ya kuongea na wabongo wawili...
Nimeikuta hii kwenye website ya CNN
Here are some Facts you probably do not know about Libya under Muammar Gaddafi:
There was no electricity bills in Libya; electricity is free for all its citizens.
There was no interest on loans, banks in Libya are state-owned and loans given to all...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.