Mamalaka ya hali ya hewa imekanusha taarifa zinazunguka kwenye mitandao ya kijamii kwamba kesho kutakuwa na mvua kubwa ikiambatana na upepo mkali maeneo ya dar-es-salaam kuanzia saa saba mchana.
Taarifa hizo sio za kweli na zimelenga kujenga hofu kwa wananchi ili wasiweze kuhudhuria uzinduzi...
Wadau amani kwenu.
Letter of credit imekuwa ikitumiwa na wafanya biashara wengi wanaojihusisha na uagizaji wa bidhaa mbalimbali kutoka nje ya nchi (international trade). Na huwa inatolewa na bank anayotumia mfanya biashara husika (mnunuzi) kwenda kwa bank ya muuzaji wa bidhaa husika alieko nje...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi sasa, tutake tusitake ni lazima rais wa nchi atatoka katika chama...
Tanzanian artist Diana Kamara demands an
apology from Sauti Sol for diminishing the legacy
of Nyerere and 'exaggerating' Mandelas story in
their song Nerea.
READ LETTER:
Dear Sauti Sol,
Salaam,
I have heard about your work and fame for a long
time. But it was until the Sura Yako song...
Msaanii wa muzuki wa kizazi kipya (Bongo fleva) Shilole bado ana nia ya kugombea ubunge kwenye jimbo lake la Igunga, lakini anahofia maisha yake kuwa hatarini! Shilole anasema amekuwa amepokea simu nyingi kutoka Igunga zinazomtaka ajitose kuwania nafasi hiyo, lakini bado yupo njia panda...
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, amesema hajaweza kufanya kitu chochote kuwasaidiawasanii kwa kuwa wakati anagombea Ubunge hakuna aliyekuwa nyuma yake.
Sugu amelazimika kusemahayo baada ya shabiki kutaka kujua ni kitu gani alichowafanyia wasanii tangu awe Mbunge.
HOUSTON -- Federal prosecutors say two people are accused of receiving about $1.8 million in fraudulent tax returns by stealing the personal information of more than 600 people.
Prosecutors say 40-year-old Dion Hatch of Houston was taken into custody Tuesday. She's charged with aggravated...
Mchungaji Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon atalicha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.Nasema hivi wambieni kabsa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.
Nasema tangia...
Mara baada ya kuundwa kwa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inayoongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Abdulrahman Kinana mwanzoni mwaka mwaka jana, Sekretarieti hiyo imejiwekea utaratibu wa kufanya ziara mikoani kukutana na wananchi kusikiliza kero zao,kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi...
Zipo taarifa kwamba kabla ya kufungwa jela, Marehemu Nelson Mandela aliwahi kuishi nchini Tanzania na familia moja ambapo wakati anaondoka aliacha baadhi ya vitu, vikiwemo viatu .
Katika mwaka wa 1962 Nelson Mandela aliondoka Afrika kusini kisirisiri na kwa muda wa miezi saba alikuwa...
Serikali za Rwanda, Uganda, Kenya na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, zimefunguliwa kesi katika Mahakama ya Afrika ya Mashariki, zikidaiwa kukiuka mkataba wa kuanzishwa kwa jumuiya hiyo.
Hatua hiyo inatokana na Serikali hizo kufanya vikao vitatu mfululizo na kuzitenga nchi za...
MTIHANI wa Taifa wa Kidato cha Nne, umeingia dosari baada ya walimu wawili akiwamo Mkuu wa Shule, kushikwa wakishiriki kutoa majibu kwa wanafunzi wao.
Tayari Polisi mkoani Singida, inashikilia walimu hao wa Sekondari ya Nkinto wilayani Mkalama kwa tuhuma ya kuvujisha mtihani huo unaoendelea...
UPEPO wa mabadiliko ya kisiasa unaovuma kuelekea kambi ya upinzani, sasa unaonekana kuwaamsha viongozi wa vyama hivyo baada ya kutolewa kwa taarifa kuwa wanafikiria kusimamisha mgombea mmoja wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Taarifa zilizolifikia Mtanzania kabla ya kuthibitishwa na...
Wadau,
Mimi bado ni mchanga au mgeni katika biashara ya real estate. Sasa hivi nipo katika sekta ya ajira serikalini, ila ningependa siku moja kuacha kazi za kuajiriwa na kujiairi mwenyewe. Niliamua kuingia kwenye Real Estate baada ya kuona atleast ina future na pia kitu ninachopenda kukifanya...
CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kimesema kuwa kina dhamira ya kuwafikisha kwenye Mahakama ya Kimatifa ya Makosa ya Jinai (ICC) huko The Hague, Uholanzi marais wastaafu; Benjamin Mkapa na Amani Karume.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na chama hicho mjini Zanzibar, marais hao...
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amesema kuwa anafurahishwa na salamu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa kuwa kila neno katika salamu hiyo lina maana na linaashiria ushindi.
Magufuli ameyasema hayo wakati akizungumza na viongozi wa sekta ya miundombinu ya barabara wa Mkoa...
Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka...
Mchawi wa rhymes, Profesa Jay amesema hakujiunga na CHADEMA ili mwaka 2015 awanie ubunge kama wengi wanavyodhani.
Rapper huyo wa Machozi, Jacho na Damu ambaye jina lake halisi ni Joseph Haule, ameliambia gazeti la Mwananchi la leo kuwa amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.