Usimung'unye maneno. Waarabu wanaona watu wengine kama hawana thamani. Nimebahatika kuishi nchi za Kiarabu nikaona ubaguzi wao, ni mbaya kuliko hata saratani
Ndugu ZeMarcopolo ujumbe wako unahusiana na alichoandika mkuu mtatiro Julius ??
Ni busara kukaa kimya kama huwezi kujibu/kuhoji hizo hoja alizoandika Mtatiro.
MUNGU IBARIKI TANZANIA na Watanzania Malofa
DAVIOn Delmonte Jr Je vipi kuhusu inflation. Je hiyo Treasury bills inakua inahusika na kuporomoka kwa thamani ya fedha?? mfano ukiweka 10m ambayo inaweza kununua kiwanja Kibamba alafu baada ya mwaka kiwanja cha Kibamba kikauzwa 15m huwezi kununua kwa kua pesa yako ikiiva inakua 13.33m. Au...
Kaka huyo dno Zitto, kaja na tuhuma za kusikia na kajibiwa kwa maneno rahisi naya kaelewa. Ndio Jembe hilo. Ila kama unafuatiloia kuna video yake akinadi chama chake cha ACT-Wazalendo alisema kama Lowassa anataka kuja kugombea urais kupitia ACT-Wazalendo anakaribishwa awaambie Watz kuhusu fedha...
Zitto anapenda Sifa kuliopitiliza. Kaona Kafulila anapewa zawadi kwa issue ya ESCROW sasa anaanza kutaka yeye ndo atajwe kama ndio kila kitu??. Zitto abadilike sasa.
Bojan , Katiba haisemi ni lazima Mawaziri watoke chama kimoja na rais, ila inasema Waziri lazima awe mbunge. Hivyo mawaziri wa UKAWA watatoka kwa wabunge wa vyama vyote. Na hata kama watataka kuchagua mbunge kutoka ccm watakua hawajavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Hichi chakula (Pure au Kande) mara nyingi upenda kupikwa siku ya ijumaa kinaliwa hadi Jumamosi jioni. Upishi wake lazima uwe na mahindi na maharagwe lakini unaweza kuongeza vingine kama mboga za majani, maboga n.k. Wakati wa kula unaweza kuweka maziwa mtindi au ulaka moja kwa moja. Ukiweka...
For this i have all reasons to congratulate our neighbour Kenya. Wanaanza kufanya kazi zao vizuri, sisi Watz we have something to learn, hapa kwetu Andrew Chenge pamoja na kukutwa na ushahidi wa pesa ya rada huko Jersey Island, na ESCROW bado anadunda mtaani tena kwa raha zake na kiburi cha...
FaizaFoxy na huyu Mathias Manga ni kada mzuri wa CCM yenu. Ndio wanafadhili CCM Arusha na Tz, labda kwa kua ndio wafadhili wa chama sheria zitapindishwa arudi mtaani kama kawa. Chama Kimeshika hatamu
Hao ndio wafadhili wakuu wa CCM mkoa wa Arusha. Hata kama kaua bila kukusudia lakini huwezi kucheza na bastola kwenye uso wa mtu hata kama haina risasi.
CCM wamezoea kuoneshana bastola hadharani ukianzia na akina Rage kwenye kampeni, Ditopile kwa dereva wa daladala na sasa Manga kwa kijana wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.