Mimi kila siku nasema humu humu ndani, KIKWETE kakumbana na matokeo, tunamlaumu bure mtandao wa majambazifisadi kuuondoa lazima uwe makini na subira sana. basi tu tumeamua kuwa OPP.
Sorry sijafika mwisho wa michango ya watu wengine. hilo hapo juu limenuima sana. kumsingizia mumeo eti kakaa kimya atafute sababu ya kutoka nje SIKUBALIANI NALO BINAFSI, kwanini mnamtuhumu mtu msie mjua???????.
KOSA KUBWA ulilofanya kama nimekupata vizuri ni kutompa taarifa huyo ex wako kuwa...
Mwanakiji umeyachokoza hizo shukrani zito kwa mistari.
Very interesting and impressing watu wana vipaji bwana, nakumbuka malenga wetu sijui bado hii programm ipo? maana vijiredio vimekuwa vingi mpaka tunashindwa nini tusikilize
Kinachonifurahisha, nyie wote mnaolumbana si wageni kama mimi, hamna zaidi ya miezi mitano lakini tayari mnajifanya wenyeji.
Are there any rules regarding posting?
Tafadhari sisi wageni tuelimishwe.
Amelie Pole sana na hongera kwa kupata ushauri.
Kwa upande wangu kama ningekuwa nikupe ushauri ningepata wakati mgumu SANA, au ningekupa ushauri kwa kurefer kwenye incidence nyingine. sababu ni kwamba siamini kama kutofautiana siku moja tu tena kwenye kitu kidogo ndio ingepelekea wewe uombe...
Sasa hivi hata mtu akiumwa na mbu atasema ni mafisadi, some time we are comparing incomprable, mafisadi wawanunue ze comedy kwa lipi?
Akija mtu na pesa yake na kuwaambia njooni mfanye shooting hata kwenye jengo langu nitawalipa wakate eti kwakuwa jamaa annathuhumiwa na ufisadi.
Jamani jamani...
LENGO LENU WEWE NA NANI?
Hivi ina maana JF ni taasisi ya chadema? nifananulieni jamani nisije kuwa nimeingia choo cha kiki/kiume kwa kujiunga humu.
Kwa ufupi bila kujali itikadi yangu na wafuasi wangu nwasiokufungamana na upande wowote, nadhani kujiuzuRu ni kushindwa vita na sio ushauri...
Wewe ndio bure kabisa, yaani mtu asisifiwe kwa mazuri yake? hao watanzania wenzako unaotaka waamke kwa style yako tuendelee kulala.
Mimi bwana Che Mkapa kwa lugha namuaminia sana CTERI PARIBUS
Akili ya huyu mzee anaijua mwenyewe .Mie hata siku hizi kumsoma ama kumsikiliza akiongea sina muda tena .Ni mtupu wa ajabu .
CONTRADICTIONS TUPU HAPO SIJUI NIAMINI nINI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.