hehehe miaka minne ya kuteka kutesa kuua na kubambikia watu kesi za mauaji na uhujumu uchumi imewatosha acheni mama afanye kazi yake na mkae kwa kutulia
Umofia kwenu ndugu,
Mwenye CV ya katibu mkuu mpya wa CCM ni vema akatuwekea hapa nasi tupate kumjua ndugu Daniel Chongolo aliekuwa mkuu wa wilaya ya kinondoni.
Si mbaya tukapata wasifu wa viongozi wetu.
Ahsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.