Sikujua kuwa Timu ndogo ya Azam (wakamiaji) wamecheza leo na mashujaa na kutoka nao suluhu!
Kwa hesabu za haraka kama yanga atashinda mechi ijayo atakuwa bingwa rasmi
Huu ni uongo, kwa hiyo washabiki wa simba wakisema azizi ki, pakome, shalulile na yule kiungo mfupi wa mamelod(wa latin Aemerica) wasajiliwe basi atawasajili bila kipingamizi?
Nilichojifunza hii michuano ina wenyewe. Kuna timu maalumu zimepewa haki ya kuchukua au kufika hatua za juu
1. Angalia hata upangaji wa droo ya nusu fainali, ni kama timu fulani zinazojiona kubwa zilipanga zikutane na nani. Dròo inakuwa kama geresha tu. Walofanya hivyo wakidhani watapata matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.