Search results

  1. WA KISHUA

    Plot4Sale Baba yangu anauza kiwanja chake, amekwama anahitajika akatibiwe

    Unaweza ukasema kwa urahisi kwa kuwa hayajakufika, uhai wa mtu ni bora zaidi.
  2. WA KISHUA

    Wife kanuna kisa nimepata shavu Uganda

    Habari wadau wa jukwaa pendwa, jukwaa nalolipenda kushinda mengine hasa kutokana na kuwa na vioja vingi kila kukicha. Muda mrefu umepita tangu kutia maguu kwenye jukwaa hili, hiyo ni kutokana na shughuli zangu za kijasiriamali ambazo zimekuwa zikini-keep busy 24/7 365. Baada ya kuamua kufanya...
  3. WA KISHUA

    Zitto Atuma Salaam Nzito. Kuna Mkakati Mzito Bungeni

    Nilikuwa sitaki kukujibu sema ngoja nikujibu kulingana na ulichoandika, Unaposema huoni MTUKUFU amekosea wapi hilo ni uongo, Unawezaje kusema kwamba anaminya mianya ya rushwa wakati huo huo anaminya demokrasia. Unawezaje kusema anazuia matumizi mabaya ya fedha wakati huo huo Kiranja mkuu wa...
  4. WA KISHUA

    Zitto Atuma Salaam Nzito. Kuna Mkakati Mzito Bungeni

    VIJANA WA LUMUMBA COMMENT ZENU ZINAFANANA KWELIKWELI
  5. WA KISHUA

    Zitto Atuma Salaam Nzito. Kuna Mkakati Mzito Bungeni

    VIJANA WA LUMUMBA KWENYE UBORA WENU
  6. WA KISHUA

    Ushauri wa haraka unahitajika, ndoa inapumulia oksijeni

    Kila kitu nimemuonyesha lakini bado ameshikilia msimamo wake
  7. WA KISHUA

    Ushauri wa haraka unahitajika, ndoa inapumulia oksijeni

    Huwa napenda sana kuficha udhaifu wangu, hiyo ni moja ya silaha zangu, hizi sio chai wala kahawa
  8. WA KISHUA

    Ushauri wa haraka unahitajika, ndoa inapumulia oksijeni

    Tumebahatika kupata watoto wawili
  9. WA KISHUA

    Ushauri wa haraka unahitajika, ndoa inapumulia oksijeni

    Habari zenu wafuasi wa mtandao pendwa na wale wapenzi wa jukwaa hili la mahusiano, natumaini wote ni wazima na mko imara kama Simba sema sio Simba hii ya kina Manara ni uimara wa Simba mnyama. Pasi na kupoteza wasaha ningependa niendee moja kwa moja kwenye dhumuni la kuandika uzi huu ambao...
  10. WA KISHUA

    Kibamia au dushelelee, Ukweli ni upi?

    LUPEMBE Means Tigo/Matako Bila shaka utakuwa ni m2 wa kula Tigo Veve na c o bure!
  11. WA KISHUA

    Hii ni kwa wanawake wanaokaa dar tuu

    Le mariyooooooo katika ubora wake, endelea kujinadi bwa mdogo!
  12. WA KISHUA

    Massage ya ebony touch parlour

    Asante! Heaven on Earth
  13. WA KISHUA

    Utani ulioibua maswali na majibu kwa mke wangu

    Yaani wewe ni Bonge la Jembe Aiseee ..Umezungumza Maneno mazito na yenye ukweli ndani yake. UMETISHA! Kama ungekuwa unapandisha MASANGA na Upo Dar basi ningekuomba uje hapa Tripple 7 nikupe walau Bucket 1 ya Heineken aiseee.
  14. WA KISHUA

    Massage ya ebony touch parlour

    You may not be her LAST,her FIRST,or her ONLY,she loved before she may love again IF she love you now what else matters!!!!!!!!! Mimi Umenikosha hapo kwenye PURPLE tuu, Maneno Kuntu kweli kweli
  15. WA KISHUA

    Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

    Siku Hizi No Mimba, No Ndoa, nadhani hiyo ndio mbinu kubwa hasa wanayo2mia
  16. WA KISHUA

    Napigwa majungu kuwa natembelea gari ya kike

    Nimekupata Ndugu, kweli kabisa nilikosea kwenye uandishi
  17. WA KISHUA

    Napigwa majungu kuwa natembelea gari ya kike

    Asante kwa kunisaidia katika hilo Mkuu, ulimi hauna mfupa, nilipagawa kidogo kwenye suala zima la uandishi, nilikuwa napitia jukwaa la Ndugu Mshana kuhusu Jamvi la Magari, kwaiyo wakati naandika Toyota ilikuwa imenikaa kichwani, i hope nimeeleweka
Back
Top Bottom