Majukumu ya CAG yameainishwa na katiba.
==>Jukumu la kwanza- Kwa mujibu wa Ibara 143(1), CAG anawajibu wa kuidhinisha matumizi ya fedha kutoka mfuko mkuu wa Hazina ya Serikali baada ya kuhakikisha kwamba fedha zozote zinazokusudiwa kutolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali matumizi yake...
Ndugu wanaJF,
Mimi naona zoezi la kuwaondoa wahamiaji haramu linaweza lisiwe na TIJA kwajinsi linavyoendeshwa. Kuwaondoa wahamiaji haramu nchini zoezi hili lazima lifanyike mikoa yote wakati mmoja otherwise utakuwa mchezo wa paka na panya. Operation inafanyika Kagera watakimbilia Lindi au...
My contribution to your research is herewith. Read CAG Reports 2011,2012 and also check this link where you will get Debt-to-GDP then you can extrapolate given GDP!
Read more:http://www.gfmag.com/component/content/article/119-economic-data/12370-public-debt-percentage-gdp.html#ixzz2duHMMf1i...
Mama nae siasa nyingi, mimi nina hati za viwanja pale block 22 kibada kuanzia muda cha kushangaza kunajamaa mwingine amepewa hati palepale plot 100/101 na wizara. mama anajua lakini nae hakuna kitu... usalama wa taifa na ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali fanyieni kazi swala hili watu wanashindwa...
Aisee, hii ni hatari sana. Ningependa kujuzwa unakwepaje au unaigomeaje kodi ya simcard? Mh. atupe njia anayoiona inafaa ili wananchi waifuate otherwise this is political play. Nijuavyo mimi hili kugomea kodi hii una njia moja tu kutoweka pesa kwenye simu yako au kwa maana nyingine kutopiga...
Mimi ninatofautiana na wewe kwenye red.... Uhuru, heshima na uwepo wa Tanzania unahitaji kulindwa hata kama nchi tatu za Rwanda, Uganda and Kenya zikiungana dhidi yetu. Watanzania wana wajibu wa kujilinda kwa gharama zozote zile. Kwa Muktadha huo tusisite kulinda nchi yetu na heshima ya nchi na...
It hurts to see such slanders directed to our Command-In-Chief and respectable President of the United Republic of Tanzania. Anyhow the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation and office of president are responsible to demand explanations of such disrespectful utterances to our...
Jibu hoja hizi hapa chini za Mzee Mwanakijiji....
"Masaa machache kabla ya habari kuwa Mbowe amekubali mwaliko na amehudhuria dhifa ya Obama Katibu Mkuu wa CDM Dk. Slaa akinukuliwa na gazeti la Mwananchi alinukuliwa kusema kuwa chama chake hakikupokea mwaliko wowote wa kuhudhuria...
Kwa post hii unadhani Tanzania haijui ilichokisema? I dont so it is your myopic view that fails you to take us Tanzanians on the matter. By the way, this is not an issue for JK alone it is our business and we will defend our interests against Rwanda whatever it takes!
Tanzania is in DRC and our enemies are M23, Kagame and allies so JK's statement was critically important amid of our role in Congo. We are in Congo in a MUST win mission, petty disrespectful dictator Kagame and allies Must know that. I strongly advise our security instruments to deal with him...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.