Search results

  1. manjoge

    Usaili utumishi transport officer

    Jamani wadau wenye uzoefu nimeitwa kwenye oral utumishi kada ya transport officer huwa wanauliza maswali ya namna gani me ni mchumi so siko vizuri sana kwenye transportation
  2. manjoge

    Computer yangu haina Sauti!

    Naombeni msaada wenu wadau computer yangu haitowi sauti baada ya kubadilisha window ni flat desktop monitor imeandikwa NEC, CPU ni emachines 3230 pentium 4, 1.5 RAM ilikuja na window Xp nkaweka window 7 ultimate ndo tatizo lilipoanzia!
  3. manjoge

    Msaada wa ushauri!!!

    Habarini za jioni wapendwa, Mimi ni msichana nimeolewa miaka miwili iliyopita tatizo ni kwamba mume wangu anawahi kufika kibo na mawenzi tukiwa katika lile tendo yani dakika 2 nyingi na akitaka round ya pili basi humchukua hata nusu saa na huishia njiani hafiki tena kibo. Kwakweli kama...
  4. manjoge

    Habarini za jioni wapendwa!

    Mimi ni mgeni humu jamani tutakuwa wote from now! I like ur views nimevutiwa kujiunga nanyi! Thanx
Back
Top Bottom