Nadhan dada lukosi unakosea sana,cdm ni moja tena the strongest party in tz hakuna cdm babu wala cdm zitto ninachokiona ni watu wanamuenjoy tu zitto bt wanapenda chama zaid.
Aaaah!pale mafinga seminari kuna m2 alikuwa anaitwa mfalme jeta alikuwa mbabe sana alitutia vboko sana tulipoleta ubabe wa form 2 wakati huo ni senior pale,maisha yale yalileta uzalendo kama operation tokomeza.
Nadhan huyu mzee alitaka kutumika na mwl alipokataa kuwasaliti wazanzibar akatupwa kigambon pale na mwaka huohuo katiba ikabadilishwa kipengele cha rais wa zanzbar kuwa makam wa rais ktk SMT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.