Wananchi mpaka tuamke na kurealise we are the ones who can make the difference, hamna kitakachofanyika...tutafanya manuevering barabarani na kupanda juu ya maboneti ya magari kila masika, kiangazi kikija tunatimuliana vumbi, barabara zitavalishwa viraka for a while until another masika and the...
Tatizo viongozi wa mji hawakupangilia mipango miji toka mwanzo na hivyo imesababisha ukosefu wa maeneo wazi (open space) katikati ya mji au sehemu nyingi tuu jijini, kwa hiyo vichache vilivyopo vinakuwa na multi purpose. Kutokana na kuwa imeshakuwa hivi ilivyo, then kinachotakiwa ni kuwa na...
Thank you for this information, hope many will be doers and not talkers!
Already signed.
PS hope people signed end of signing this October, which has only one day left!
God heal our beautiful land Tanzania. Give us courage and wisdom to seek you when it is tough and no one hears our cry especially those authorities that we have voted and put them in positions to lead us. God, grant the wishes and prayers of the old men and women who today had taken drastic...
Oooh goodness the crazy funny is still on...
Last Dance - between you legs
Top Gun - between your legs
Young & Restless - between your legs
Desperate Housewives - between your legs
Oooh...this is crazy funny...
I got a few
Best man - between your legs
Love & Basket ball - between your legs
Love Jones - Between your legs
The saint - between your legs
Unfaithful - between your legs
So haya mambo ni ya kweli au la??? Hata kama sio watoto kiasi hicho but ni vijana wa taifa hili letu..na ni exploitation ambayo haiendani na imani yoyote ile, so more need to be done to investigate further...mleta habari tujulishe yanayojiri katika hili...please! leo ni watoto/vijana wa wengine...
Jamani this is really sad, laana hizi tutazipeleka wapi jamani!!! Pdidy hope you found the paper and have done the needful so some serious steps can be taken.
Mungu atusamehe sana kwa mambo kama haya!
Personally, I hate the period days, sasa na kujaamiana tena wakati huo itakuwa ngumu sana, but i think its preferance ya watu! interesting reading your posts though!
Goodmonring people of Tanzania...its another day na jua nalo halina hiyana limechomoza kama kawa...giving us hope and the possibility that its not the end, but the begining. Yesterday is just that yesterday. MKJJ and all others in JF you are the reason some of use who were guests for a while...
Jamani hivi hela hizi hawa watu walikopa? ndio wakichelewa wapelekwe mahakamani? hao watakaomaliza "kurudisha" hawatapelekwa mahakamani? na makampuni yanayosubiriwa interpol report ni yapi haya haya yanayorudisha hela? ni miaka 23 imepita wenye fedha zao hawajajitokeza, sasa kusema kuwa watakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.