Jamani wanajanvi, nimepata hii email asubuhi hii kutoka kwa shost wangu, and belive me ijaweza kumshauri chochote maana sijapata muda wa kufikiria na it seems she is really disturbed and need urgent advice, naomba tuchangie kwa upana ili nijue ntamshauri nini. Jamani msiniulize maswali mengine...
Wajameni naombeni msaada kwenye tuta, najua humu wapo watu wa aina zote which means kila swali au tatizo laweza kutatuliwa. Mimi naomba mnisaidie kujua shule za secondary za private boarding, girls only would be better au hata mchanganyiko as last choice. ningependa kujua ada ni ngapi according...
Nataka nijiunge na jukwaa la wajasiriamali jamani ili nijikwamue na ugumu wa maisha bongo maana kila kitu kimepanda bei ila mishahara iko palepale. Jamani anayejua napoweza kupata frem sehemu yenye watu wengi anitonye hapa ili niifukuzie. Thanks
Members hili limenisikitisha sana na sina pa kulisemea zaidi ya hapa.
Nilipoteza wallet yangu tarehe 21 ikiwa na id's zangu pamoja na ATM card yangu, sasa nikaenda bank niblock account yangu. Nikaambiwa haiwezekani hadi niende polisi nipewe lost report.
Hapo bank wakanipa form ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.