Una uhakika mke wako hakunwi huko nje...? Mimi naona hapo ngoma droo. The longer it goes,the worse. Tafuta suluhisho la serious kama unataka kuiokoa hiyo ndoa... Mojawapo ya factors zinazochangia ndoa kuvunjika ni hizo unazopitia, Kunyimana unyumba, kutokuwa na mawasiliano mazuri na...
Ushetani kwa 100%
1) kwanza huyo msanii anayetangaza ni Gay
2) Tone la damu chini ya Soli ya kiatu nadhani mnajua maana ya kukanyaga tone la damu au damu yenyewe
3) Namba 666 mnajua inamaanisha nn ambayo kwao ndio ilikuwa jumla ya viatu vilivyotolewa.
4) Hyo chata ya nyota 6 mbele ya Kiatu ni...
Usiache kazi kabla biashara yako haijasimama kwa miguu miwili. PIA ukiendelea kubaki na kazi yako utakuwa una source mbili za mapato kwa muda flan mpka biashara yako itakapo simama. Tatu tafuta ndugu yako wa karibu ndio akae kwanza dukan sio mtu usiefahamiana vizur.
Na mwisho kabisa fanya...
Miradi yenyewe tunasaidiwa na serikali zingine lakini tunajipiga kifua binafsi kama vile tumeifanya wenyewe. Miradi ya kawaida tu lakin mbwembwe nyingi, waafrika bana tunashida sana, kila kitu siasa tu. Badala mjisifie kwenye sera zenye tija mnajisifia kwenye barabara... Poor creatures
Hio naona ni genital warts mkuu, sasa baada ya kuleta uzi naomba hatua nyingine inayofuata ni uende hospitali ili daktari aweze kuexamine severity ya hivyo vipele na pia achukue blood samples.
Hili nalo linahitaji research aisee, nikiwa hko kijijini interior mpka nitafte bank? Nikiwa na shida ya haraka nafanyaje? Umempa fundi kazi kamaliza sa 1 usiku unaenda bank gani kumtumia hela? Mwisho wa siku bank ina umuhimu wake na mashirika ya simu yana umuhim kwa transaction za haraka
Wait, hebu ngoja kwanza, kumbe kuna watu huwa wakiona thread ya mtu kaonewa na kuteswa na vimeo vyake wanasahau kwenda kuangalia post zao za nyuma? Kwanini unasahau kuangalia ujue kama ni mtungaji kaamua kuchangamsha jukwaa au lah!! 😂😂
Mkuu nina muda sijaingia humu,huwa naibiaga tu am glad kuliona hili jina linalotikisa huku jf na comment za front seat 😂😂
Huyu dogo kodi yake ya miezi 6 aliyoilipa ikiisha ataanza kujizungusha na tai yake shingoni
Mtoa post naona kama hujafanya research bado,
1) kuna vyama zaidi ya kumi Tanzania
2) Icho chama cha wakina mdee kitakuwa cha wadaliti na jumla ya wafuasi 18 unadhan nani atawafuata? 😁
Mpaka sasa hivi hawajajibu maswali yenye tija, kwa mfano: Nani aliwasainia fomu na kugonga mihuri? Nusrat Hanje amefika fikaje bungeni? Imekuaje process zote zile zienda discreet kiasi kile mpaka wameapishwa hakuna mtu aliyekuwa anajua? Na pia Leo asipoikana hiyo nafasi yake ya ubunge wa kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.