Hizo ni tetesi tu na sio ukweli. Tushazoea kuhusisha wakubwa(hasa tukianza kuwachukia) na mambo fulani fulani.
Huyo dogo riz hamiliki hiyo kampuni wala hana hisa kama inavyosemwa mitaani.
Mbona tatizo linaonekana kwa serikali kufungua biashara ya mtu binafsi tena mtanzania(anaelipa kodi na kusaidia wakulima), lakini wakienda kufungua biashara za hao mnaowaita wawekezaji( ambao hawalipi kodi na wezi wa maliasili) hamsemi?
Mbona tatizo linaonekana kwa serikali kufungua biashara ya mtu binafsi tena mtanzania(anaelipa kodi na kusaidia wakulima), lakini wakienda kufungua biashara za hao mnaowaita wawekezaji( ambao hawalipi kodi na wezio wa maliasili) hamsemi?
MICHAEL CHILUFYA SATA become the 5th PRESIDENT OF REPUBLIC OF ZAMBIA after winning 43% over former president RUPIAH BWEZANI BANDA who got 40%.
just announced by ECZ ( ELECTORIAL COMMITEE OF ZAMBIA) at MULUNGUSHI INTERNATIONAL CONFERENE CENTER here in LUSAKA.
Familia yake haimiliki visima vya mafuta arabuni, na waliwahi kumiliki meli mbili ndogo za mafuta, ambazo baada ya mambo kwenda mrama, wameziuza.
Pia hawamiliki kituo cha mafuta DRC,waliwahi kuwa navyo ZAMBIA na kwa sasa vimeuzwa na mabenki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.