Ewe mtanzania mwenzangu mwelewa kama mimi nakuomba uchague UKAWA chagua rais wabunge na madiwani wa ukawa kwa maendeleo yako ya baadae sio kushabikia hapa kazi tu ikiwa hauna ajira miaka 54 ya Uhuru nchi uko wapi!.usifanye makosa mtanzania mwenzangu.
najua umetumwa na ccm na unatumika vibaya jaman hebu tuwen na akili angalau hata ya kuzaliwa hvi wewe unafikili kilaza magufuli ataweza kuiongoza hii nchi kwenye watu kama sisi kwenye akili zetu hebu tafakalini hili najua ninyi ni wasomi pia kama mimi kaka enu...miaka 54 ya Uhuru kiko wapi...
Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu, Vipi Umeshapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa, No! NiMwanaharakati!! Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1, Ni -----
2, Ni Mjinga
3, Mpumbavu
4, Mwehu
5,Mwendawazimu
6, Una Ubongo Wa...
wewe inaonekana umetumwa na ccm lakn mm nasema hvi hauta weza hats kidogo wananchi wakitaka mabadiliko kamwe huwezi kuzuia hata kidogo mm nakushauri uachane na hayo masuala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.