Habari wakuu,
Naombeni kujuzwa wa ntapata godoro bora pande za hapa Dar.
Ntashukuru sana mchango wenu ukiambatana na bei
ila napendelea size 5 by6.
Nawasilisha.
Inauma sana na pia inasikitisha sana kuona aliyewaongoza mpite kwa amani na kwa usalama wenu anaangamia.
Ivi ni mida ya sa ngapi hiyo ajali imetokea,kwani kuna wakati majira ya saa sita mchana nimemwona traffic mwanamke
akiongoza magari hapo traffic right za bamaga.
Poleni ndugu na jamaa pia...
hongera sana....kwa kuitwa kwenye interviw.
For me i may comment you to have confidence.
ila tujulishane wapi kwa kutuma hizi maombi na wanazi consider.
All the best in your interview.
Bitabo ivi unaweza kukubaliana nami kwamba mtu anaweza julikana zaidi na baadhi tu ya watu hususani wadau wa kile alichokuwa akikifanya au waliokuwa wakipendezwa nacho.Sawa na doctor fulani bingwa atafahamika zaidi na mgonjwa fulani aliyemtibia maradhi.
Tufahamishe basi huyu msanii alivuma sana...
Hi JF Education members!
Could anyone help me to explain in brief the Ethical changes facing auditor's
thank you looking from your cooperation in this regards!
Lukelo
Hallo Obama wa bongo mwenyewe naomba ufafanuzi wako hapa kutokana na uzoefu wako wa kutumia hizo acc software vipi zinatofautiana sana na microsoft excell,na unaweza ukajisomea mwenyewe.
Na la pili kutokana na uzoefu wako utakuwa unazifaham Auditing&accounting firms or NGO ambapo unaweza kuwa...
Ndg...yangu jitahidi kuwa na PR muda wako wote uwapo chuoni.
Ni hii ni muhimu sana na huwa haifundishi...na ndio maana unaweza kumwona mwingine anavalia suruali chini ya makalia.
in any sentence spoke he must speak foolish word.Try to find presentable role modal.
Kuhusu kitabu only you need to...
Kaka naona unaweza kuwa msaada hata kwangu,sikuzote huwa naishia kusikia tu watu wanaitwa interview mbali na kujitahidi kutuma application kwa wingi niwezavyo.
vipi mzee unaweza ukawa mwokozi wangu hapa kwa kunipa update about job trainings firms za finance industries which
you thing i can meet...
Sembuli kuhusianisha kuamini kuhusu Mwl Nyerere kufariki dunia kwake na swala la Yesu kuzaliwa is too things different very far.By the way kuna ushahidi mwingi tu wa kutosha kuhusu maisha ya Yesu kristo duniani na hadi kifo chake na hadi kufufuka kwake.
After low wanaodadisi kuhusu ukweli wa...
Hallo MAKOLE hapo kweny umri kidogo panatatiza
hususani kama utazingatia mfumo na mzunguko wa elimu hapa
kwetu it is obvious at least 25yrs old you can find graduate
for first degree,so naona wengi hapa tutaikosa hiyo fursa kwa kigezo umri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.