Nikitembea umbali mdogo kama mita mia nahisi kuchoka sana harafu kifua kinabana kama mtu aliyefanya zoezi gumu au kakimbia sana, pia wakati mwingine nahisi kizunguzungu nimepima pressure ipo sawa sukari sawa na damu inatosha sasa naomba msaada tatizo ni nini?
Unashangaza kweli kwani mmarekani akitoka Washington Dc akaja tanzania akapiga picha mt kilimanjaro au serengeti, bagamoyo ni mshamba wa Dar mjanja sio?
Huna uwezo mkubwa wa kufikri nadhan humjui vizuri fredwaa ndo maana unabwabwaja tu maneno, ukabila umekujaje hapo fredwaa mtangazaji mzuri sana sema kipindi si type yake mwanza imetoa watu wazuri mbona kina Godwin Gondwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.