Hahahahahahah, huyo kaachiwa nyumba 2 tu kati ya nyumba 70 alizokuwa anamiliki hapo masaki na tayari zimeshawekwa nembo ya National House Corporation (NHC)! kwa hiyo huo ndo msamaha wake na ahueni yake japo kazi kakosa hapo tra!
Viwango vya utozwaji wa kodi za majengo unavigezo viwili kama sijakosea, 1. kuna majengo yaliyofanyiwa uthamini ambapo kodi hutozwa kulingana na thamani ya jengo.
2 majengo yasiyofanyiwa uthamini ambapo wameweka viwango sawa kwa nyumba za kawaida lakini kwa maghorofa ni tsh 50000
Tatizo halipo kwenye chama jamani, viongozi wa chama wapo sahihi kabisa! Tatizo lipo kwa mkurugenzi ambaye yeye ndio mtaalam, viongozi wa chama wanawasiliana na mkurugenzi kwa barua au mdomo halafu mkurugenzi anapaswa kuyaweka maelekezo ya viongozi wa chama kiutumishi zaidi na kisheria ili yawe...
Huyo mkurugenzi alichokosea yeye ni kuweka kuwa kikao hicho kitaongozwa na viongozi wa chama, alipaswa aishie kwenye hiyo aya ya tatu tu na kumalizia aya ya tano halafu hayo mengine wangekutana nayo kwenye kikao, tena kikao kingeongozwa na ofisi ya mkurugenzi halafu hao viongozi wa chama...
YAANI WATUMISHI WENGINE JAMANI, YAAN HATA NAMNA YA KUFANYA KWENYE HAKI ZAO HAWAJUI SASA SIJUI WANAJUA NINI? WEWE, WEWE! HEBU FANYA HIVI, ANDIKA BARUA KWA MKURUGENZI WAKO LAKINI IPITIE KWA MKUU WAKO WA SHULE NA AFISA ELIMU WAKO YAH: KUKUMBUSHIA KULIPWA POSHO YANGU YA KUSIMIMIA MITIHANI KIASI CHA...
NI KUJILISHA UPEPO TU, YAANI HAWA WANAHARAKATI KAMA WANAWEZA SI WAKAISAIDIE NCHI KUTOKA KWENYE MIKATABA YA IPTL NA MIKATABA MINGINE YENYE HASARA KWA TAIFA KIUJUMLA! UNAJUA HUMU NCHINI KUNA VISACCOS VYA AJABU AJABU SANA AMBAVYO VINAJIITA NGOs LAKINI VINAFANYA KAZI NJE YA MAADILI! BORA VIFUTWEEE...
KWANI WEWE UNACHUKULIA RAIS NI MTU WA NAMNA GANI AU URAIS NI TAASISI YA NAMNA GANI? MKUU, ELEWA KUWA RAIS NI MALI YA SERIKALI, NAOMBA NIISHIE HAPO MAANA NISIJEROPOKA BUREEEEEE
SOMA MAANDIKO HAYA ILI YAKUSAIDIE KUJUA NAMNA GWAJIMA ALIVYO OVYO NA MPIGA DILI WA SADAKA NA EVILS NYINGINE
"Aliye juu ndiye anayemiliki katika Ufalme wa mwanadamu, naye humpa amtakaye, awaye yote" (Daniel4:32), " Binadamu hupanga mipango yake,
lakini kauli ya mwisho ni yake Mwenyezi-Mungu"...
Yaan kuna watu hata hawajielewi kabisaaaa, Rais alisema hataki vimisaada vyenye masharti ya ajabu ajabu . Sasa angalia hapo kwenye masharti kama utaona masharti ya ajabu ajabu!, YAAN KWA AKILI KAMA HIZO WAPINZANI WA SERIKALI MNAJIDHARAULISHA SANA!
ngoja nikupe somo kidogo, mara zote mikataba ya halmashauri husainiwa na Mwenyekiti, mkurugenzi na mwanasheria wa halmashauri/serikali! Lazima pawepo na uwakilishi wa serikali, uwakilishi wa wananchi na ofisi ya mwanasheria (hapa sasa unapa mihimili yote mitatu yaan serikali, bunge na mahakama)...
DAAAAH, JAMANI HEBU TUACHE UONGO, KABLA YA KUPOST TUFANYE TAFITI KWANZA WE NANI KAKWAMBIA MIKATABA YOTE YA HALMASHAURI ANASAINI MWENYEKITI HUSIKA WA HALMASHAURI? TUFANYE TAFITI HALAFU NDO UPOST, KAMA HUNA UHAKIKA BORA UONESHE KUWA HUNA UHAKIKA AU UNAMASHAKA ILI KUPATA MSAADA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.