Anae bisha na kuleta kejeli juu ya kauli ya kikwete ajiulize anafaidika na nini kwa wakongo kuuwawa na askri wa kagame? Lakhni mwisho wa siku kagame atambue kuwa sisi ni taifa kubwa tunaweza hata yeye kumwondoa madarakani na kumweka mtu wetu kama tulivyo fanya uganda kongo na burundi
Nimekuwa mfuatiliaji bunge letu laJMT kwa kipindi kirefu, lakini ninachokereka nacho ni pale mbunge anapoanza kwa kushukuru chama chake kana kwamba yuko kwenye mkutano wa chama na kuacha hoja ya msingi, lakini pia nakeleka na uungaji hoja mkono wakati huo huo unakuta mbunge husika analalamika...
Kinachodaiwa hapa si urais ni mamlaka za juu kuwa tatu kiitifaki itakuwaje ndio inayoleta shida ndio linakuja wazo la kupunguza baadhi ya mambo ambayo hayawezi kuleta mkanganyiko kiutendaji
Mbona hoja yake ni nzuri tu tatizo liko wapi yeye kama Mtanzania ametumia haki yake ya kutoa maoni na kujieleza kutoa yale anayoyaona na sisi tusipoteze nguvu zetu kwa kubeza kishabiki tupinge hoja kwa hoja na siyo hoja kwa kutusi au kukashifu mawazo yake
Nimemsikiliza mh. Sitta na nimemwelewa kile alichokimaanisha, kama kweli tunahitaji katiba mpya tulitazame suala hili la kipengele cha serikali tatu itakuwaje kiitifaki? Kwanini tusiwe na rais mmoja wa muungano then znz na tanganyika ikawa na governers instead of rais?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.