Search results

  1. K

    Watumishi wa serikali wengi ni wanafiki

    mada ni nzuri,hata ambao hutajingia kwenye ajira tunaliona hilo,vitendea kazi wamechukua hatua gani ya msingi ya kudai.
  2. K

    Mijimama kumbe nomaaa

    elimu ya kujitambua ktk nyanja hizi,uchumi(tujitume),utandawazi(tutazame vitu chanya) na maadili kwa jamii nzima .
  3. K

    Sababu ya watu kudisco

    usomaji kozi unafanana isipokuwa jitihada zetu ndio chachu ya mafanikio ndugu,hata koz rahisi watu wanadisco
  4. K

    Msuli wa udsm ,sua,na mucco usipime

    vyuo vyote wanafanzi wanasoma kwa bidii ,uzembe wa mtu ndio mavuno yake.sio chuo flani ndio kuna msuri ya kutisha.
  5. K

    Nailani sana heslb

    tatizo viongozi wetu wamekosa uwajibikaji,hata kutoa taarifa ya msingi tatizo ni nini? nchi hamna baba,mama wala mtoto.
  6. K

    Fungua hapaaaa!

    tatizo ni siasa ama viongozi wetu hawana utashi na nchi,ni kila wizara ikawa waziri mwenye taalamu husika nb vigezo
  7. K

    Tunataka elimu ya namna hii kwa watanzania

    ndio hivyo vinatakiwa,lakini bila serikali kuona umuhimu wa bajeti ya elimu hatuwezi kusonga mbele nauzalendo unatakiwa
  8. K

    Mke wangu kanibadilikia baada ya ndoa.

    eti sijala nyumban kwel! jitazame upya,nini mwelekeo wako wa ndoa kama mwanzo inakuwa hivyo? acha siasa ktk ndoajitazame
  9. K

    Andika kwa maneno ya kiswahili namba hizi 10,0001 na 11,000..

    10,001_ kumi elfu na moja ,11,000 _elfu kumi na moja elfu. umakini wa jinsi ya kuitamka ndio itasumbua watu.
  10. K

    wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

    emu simamia hivyo kama kwel unaona vina tija kwako na lazima uwe na mtazamo wa kuthamini na kiilewa jamii inavyobadilika
  11. K

    VIJANA WASOMI 'watanunuliwa'

    msomi mtu gani?asiejitambua,asietumia usomi wake manufaa kwa jamii,mwenye mtazamo hasi ? hapa sio chama,bali ni upeo.
  12. K

    Mimi pia natafuta mpenzi-Mwanaume

    kwa nini jamii yetu imekuwa na maadili ya ambayo vigezo visivyo na tija yoyote? binafsi sina mda huo.
  13. K

    Form 4 lavuja maswali haya hapa ya kesho

    busara hainunuliwi,rafiki fikiri kabla ya kunena na jamii,kuwa mfundishaji mzuri kwa watanzania.
  14. K

    Mapenzi na chuo vyuo vikuu Tanzania

    tatizo sio mapenzi bali kama mwanachuo unajitambua kilicho kupeleka pale na muda wako unautumiaje ama ,acheni ulimbukeni
  15. K

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    kwanza huna sifa za kuwa mwanamke,hata mume umeshindwa kuishi nae,kijana wa nini? pita mbali na vijana .duuuuh!!!
  16. K

    Describe your self kwa neno moja tuu kati ya haya

    mimi ni msomi mwenye kutambua na kunyanyambua ni lipi jema ama baya ,na kuiweka jamii ktk msingi chanya ktk maisha .
  17. K

    Siri ambazo wanaume hawapendi wanawake wazijue:

    poit ya 5 nimeipenda hizo zingine ziwezi kuja kuziishi ktk maisha ya ndoa ,maisha ni kukubalina na kuwekana wazi .
  18. K

    Nilisalitiwa miaka 12

    emu acha ubabaishaji,wewe umeoa unataka nini tena,hapa hamna deni inasemaaje,lazima uwe na mtazamo endelevu na ndoa,duh!
  19. K

    Maisha ya watanzania kuboreka kwa kasi baada ya ziara ya rais huko canada

    lakini haya yote si anayajua,je washauri wake hawajui,watendeji wake vipi hawafaamu matatizo ya jamii?tatizo ni uzalendo
  20. K

    Chemsha bongo: Shilingi 100 iko wapi?

    emekopa 10000,umelipa 200 kwa wadeni wako,na deni umepunguza na kudaiwa 9800,kwahiyo hiyo bado haina mathara ktk deni.
Back
Top Bottom