Kwa hapo bado cjaelewa anakwepaje kulipa kodi kwan kwa nijuavyo mimi mnaada unafanyika then pesa inayopatikana kwanza inalipwa ya gharama ya uendeshaji mnada pili gharama ya utunzaji mzigo na tatu ni kiasi cha kodi kilichokuwa kinapaswa kulipa na mwisho kias kinachobaki anapatiwa Mwenye mzigo...
Yaan kwa mfano ni ukitoa million unakatwa 7500 basi serikali wanakta 10% kutoka ktk hiyo 7500 na si vinginevyo kwan ni kit ambacho hakiwezekan kabisa wakate 10% ya 1 million ...
Nakuonea Huruma unaeisaport ccm kwan huna huruma kwa walala hoi ambao leo hii wanashindwa kupata huduma km za hospitali wao wanaenda tibiwa India na America
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.