Search results

  1. hatym

    INAUZWA Imarisha afya yako ukiwa nyumban na mashine za mazoezi

    ubusy wa kazi unafanya tusahau sana afya zetu,foleni barabarani unafika nyumban muda umeenda na unashindwa kutoka na kwenda gym au kukimbia barabaran, lakini vipi ukiwa na mashine ya kukimbia nyumban kwako na ukatumia dakika 25 mpaka 45 jioni au asubuhi kabla ya kutoka? Utakuwa umefanya...
  2. hatym

    INAUZWA Mazingira hutujenga, mazingira yakipendeza na sisi huvutia zaidi

    Tunafanya makazi kuitwa nyumbani[emoji3] Pendeza makazi yako, ofisi yako na Emperor wallpaper bora kabisa kutoka kwetu Wallpaper imara na zenye kudumu Utazipata roller kwa tsh 75,000 tu Roller 1 urefu ni 9M na upana ni 0.54M Tupigie leo 0758728258 0718327776
  3. hatym

    Epuka maradhi Nyemelezi kwa kubadili Mfumo wa Maisha

    Mtindo wa maisha umekuwa chanzo kikubwa katika kusababisha magonjwa kwetu, ubusy wa kazi na urahisi wa maisha umefanya binadamu miili yetu kuwajibika kwa uchache sana, magonjwa kama kisukari na presha yamekuwa makubwa na yanachukua mpaka vijana wadogo kulingana na ubusy wa kazi na umbali mtu...
  4. hatym

    INAUZWA Je, unahitaji spare za BMW 3 series?

    Pata spare unazohitaji, gari imepata ajali na vitu vyote vinauzwa kama spare, engine imeshanunuliwa, vingine vyote bado vipo angalia kitachokufaa kilichoharibika katika gari lako. Mawasiliano: 0758728258
  5. hatym

    Nini ufanye unapohisi mwili una mabadiliko?

    maisha yanabadilika sana, ubusy wa kazi na ukuaji wa miji unatufanya wakati mwingine tufanye kazi muda mrefu na kufika nyumbani muda ukiwa umeenda sana, lakini bado haipaswi kuwa excuse ya kukuzuia kuwa fit, leo nakueletea vifaa vichache ambavyo unaweza kutumia muda wako japo dkk 30 mpaka 40...
  6. hatym

    Car4Sale Toyota Alphard inaenda 9.8M

    Toyota alphard iko sokoni gari ilibadilishwa engine kutoka engine ya 3000cc, na sasa ipo ya 2400 cc ipo katika hali nzuri Namba D njoo na fundi wako ujiridhishe mawasiliano 0758728258
  7. hatym

    INAUZWA Unajiuliza ni wapi utapata vifaa vya mazoezi bora?

    basi jibu tunalo sisi,ni muda wa kuuweka mwili sawa na kufanikisha malengo yako ya kiafya na kimuonekano hata ukiwa nyumbani hii ni list chache ya vifaa muhimu kutumia 1. matt za mazoezi ni muhimu sana katika kuulinda mwili na sugu na kukukinga na maradhi ya ngozi pia hukufanya ufanye mazoezi...
  8. hatym

    tunaprint jezi na tshirt za hafla mbali mbali

    habari tunapenda kuwajulisha kuwa tunaprint majina,namba pamoja na udhamini katika jezi za michezo aina zote kwa gharama ya ths 4,500 kwa jina pia tunatoa huduma ya kuprint picha katika tshirt za hafla mbali mbali pamoja na sare za misiba kwa gharama nafuu,bila kusahau vikombe kofia na material...
  9. hatym

    Computer4Sale Hp laptop for sale

    Dili la chap chap,Used hp laptop for sale, screen inch 14, hdd 500gb unapewa na keyboard protector na screen protector poa,work perfectly Call/whatsapp 0758728258
  10. hatym

    Get fit at home with us

    Unaanzaje kuacha hii ikupite, ab_roller hii ni roller inayokupa nafasi sio tu kupambana na kitambi bali na kushape na kutengeneza maeneo mengine ya mwili Zinapatikana kwa tsh 35,000 tu Tufollow instagram https://instagram.com/fitnessempiretz?utm_source=ig_profile_share&igshid=tidi5ond5pjh...
  11. hatym

    INAUZWA Unasumbuliwa na matatizo ya uzito mkubwa?

    Habari! Afya ni jambo la msingi na muhimu sana ili kuweza kuendelea na shughuli zako za kila siku na kuwa mtu mwenye furaha,na ndio sababu sisi tuko hapa,ijali afya yako ukiwa nyumbani kwa kupata vifaa vya mazoezi ukiwa nyumbani,pamoja na ubusy lakini lazima utapata angalau nusu saa ya kukimbia...
  12. hatym

    INAUZWA Fitness tracker

    Sasa unaweza Kutrack maendeleo ya mazoezi na afya yako kiujumla Inapima step ulizotembea,mapigo ya moyo,umbali,mafuta ulichoma( calories) inakuonesha nani anapiga katika simu yako,na sms zinazoingia pia,inakustua unapoweka alarm,ukikaa muda mrefu bila kuinuka itakupa notification,unakuonesha na...
  13. hatym

    INAUZWA Iphone 5 inauzwa

    Iphone 5 inauzwa Storage : 16GB Colour :silver Condition : used Price 320,000 Mawasiliano 0758728258
  14. hatym

    INAUZWA Katika uwanja huu wa ushindani na ubunifu huliwezi kulikimbia hili

    Mabadiliko ya technologia yamefanya ufanyaji kazi wetu wa biashara ubadilike sana,kuna biashara ambazo zimekua kwa kiwango kikubwa kwa muda mfupi,na kuna biashara zimeanguka pia bila matarajio,wakati unabadilika,generation inabadilika,aina ya wateja/soko linabadilika,utamaduni/culture...
  15. hatym

    INAUZWA Nahitaji display ya samsung S8

    Habari wana jamvi Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo, Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane 0758728258
  16. hatym

    INAUZWA Kiboko ya kitambi

    Najua ni wengi wanakereka na hili,lakini zipo njia nzuri za kuweka mwili sawa, FITNESS EMPIRE tunakuletea kifaa rahisi kwa mazoezi ukiwa nyumbani kifaa ambacho unaweza fanya mazoezi ya mwili mzima Utakipata kwa bei ya promotion tsh 300,000 Kama ni mkazi wa dsm tutakufanyia delivery bure pamoja...
  17. hatym

    INAUZWA Hp computer inauzwa

    Specifications RAM 4GB HDD 500 GB System type :64-bt operating system,x64-based processor Intel( R) celeron (R) Screen 15 inch Price 550,000 0758728258 N.B Haina tatizo lolote
  18. hatym

    Natafuta camera nikon D5300 mpaka D7200

    Habari wanajamvi Natafuta kamera hi tajwa hapo juu,mtu yoyote ambae anauza nijuze 0758728258
  19. hatym

    INAUZWA Fanya mazoezi ukiwa nyumban kwa kutumia kifaa hiki

    Bidhaa mpya Six pack care Mashine ambayo ni mult functional utafanya mazoezi ya mwili mzima kupitia kifaa hiki ukiwa nyumbani Kwasasa vipo kwenye promotion kutoka 350,000 mpaka 300,000 Wasiliana nasi 0758728258 0718327776 Kwa wakazi wa dar es salaam tutakuletea bure mpaka ulipo na kukufungia...
  20. hatym

    INAUZWA Jipatie mashine za kukimbia (TREADMILL) kwa gharama nafuu

    Unagonja nini? Wahi sasa ujipatie mashine hizi kwa gharama nafuu kabisa zikiwa ni mpya kabisa. Hitup motorized treadmilll with no incline User maximum weight 11,000 Tsh 1,400,000 Maximum speed 12km/hour Kizuri kuhusu sisi,tunakuletea mpaka ulipo kwa dar es salaam bila gharama Na tunakufungia...
Back
Top Bottom