Wakuu naomba kujua mamlaka ya Afisa mtendaji kata na Afisa Tarafa maana hawa watu wana nguvu sana kwenye maeneo yao kuna sehemu unakuta mtu anakubali kupelekwa polisi lakini sio kwa Afisa mtendaji kata au Afisa Tatafa.
Wakuu msaada please..!! Batani zangu za Pc zina staki(zinakataa kufanya kazi) moja baada ya moja kila baada ya muda. Tatizo ni nini?? Kuna namna ya kutatua tatizo au ninunue keyboard nyingine??
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Habari wana jamvi !!! Huu ni mkasa wa kweli kabisa na nipo njia panda mpaka sahivi sijui cha kufanya. Nipo kwenye mahusiano na mtoto mkali kweli wa kichaga na tunapendana sana, tumekuwa na mipango na future nzuri tu. Tumevumiliana kwenye shida na raha japo yeye bado anasoma na yupo mwaka wa...
Wakuu hizi TV zinanikera sana.. Kwa yetote anayejua jinsi ya kuzifuta TBC na clouds TV kwenye star times anipe msaada nifanye hiyo kazi mara moja..!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nilikua nina girlfriend wangu tulipendana sana alifanya vituko vingi sana kwakuwa nilimpenda nilimsamehe kuna siku nilikuta kwenye simu yake jamaa kamtumia picha ya mgegedo wake kupitia watsup akimkumbusha siku tatu nyuma jinsi alivyomfurahisha siku alivyokula koni vizuri lakini bado nilimsamehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.