KERO Threads

Mke wangu ana changamoto ya kutofautiana majina kati ya kitambulisho cha NIDA na vyeti vyake vya kitaaluma. Nimejaribu kufuatilia vigezo vinavyohitajika Ili kufanya marekebisho, nikakuta pamoja...
2 Reactions
0 Replies
359 Views
Anonymous
KERO 
Habari gani wadau? Kama mnakumbuka, siku za nyuma kidogo kuna mdau alitoa dokezo kuhusu afisa elimu sekondari Kilwa kudhulumu sitahiki za walimu kama vile malipo ya likizo, malipo ya uhamisho na...
3 Reactions
4 Replies
522 Views
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Msangano wilaya ya Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji wakidai kuwa wamekuwa wakitumia maji pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Hii ni Hali ya Miji wa Moshi Manispaa, Mkoani Kilimanjaro. Hii Hali kwa kweli imeanza kujirudia. Wananchi , wameshuhudia maeneo mengi hasa ya masoko na baadhi ya mitaa ya Kata za pembezoni uchafu...
0 Reactions
2 Replies
745 Views
YAH: MALALAMIKO KUHUSU ZUIO LA USAJILI WA POLYCLINICS (KLINIKI ZA KIBINGWA) MPYA KATIKA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) Mhe. Waziri wa Afya, Katibu Mkuu wa Afya, Mkurugenzi Mkuu wa NHIF...
2 Reactions
3 Replies
869 Views
Anonymous
KERO 
NI takribani wiki mbili sasa kituo cha Tiba Upanga hakitoi huduma za Bima ya afya kwa sababu zisizoeleweka. Wagonjwa tunafika na hatupewi huduma. Tukipiga NHIF 199 tunaambiwa twende vituo vingine...
0 Reactions
5 Replies
461 Views
Anonymous
KERO 
Ni jambo la kusikitisha kwa reli ya kimataifa kama hii ambayo inadaiwa kutumia viwango vya kimataifa kuziba njia za wakazi wa Makulu na kusababisha watu kuhama kwa muda kwani hakuna njia ya...
0 Reactions
4 Replies
513 Views
Anonymous
KERO 
Ndugu DAWASA na Waziri wa maji, Ninaandika kueleza hasira yangu kuhusu tatizo linaloendelea la ukosefu wa maji katika baadhi ya maeneo ya Tabata Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa hatujawa na maji, na...
0 Reactions
1 Replies
303 Views
Anonymous
KERO 
HATARI YA MAGONJWA YA MILIPUKO TEGETA CHASIMBA Wakazi wa Tegeta Chasimba wanaomba msaada wa kuondolewa takataka ili kuepukana na hatari ya magonjwa ya milipuko. Mkandarasi wa taka hajaonekana...
0 Reactions
1 Replies
291 Views
Anonymous
KERO 
Naombeni mtusaidie kupaza sauti au kutafuta ukweli kuhusu bima ya afya inayotolewa na NSSF kuna ukiritimba unaifanywa na baadhi ya wamiliki wa hospitali wakishirikiana na wakuu wa makampuni...
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Anonymous
KERO 
Kuna huu mfumo wa ESS (Employee Self Service Portal) unaotumiwa na Watumishi wa Umma Nchini, ni moj ya mifumo ambayo imepunguza usumbufu mkubwa na kurahisisha mambo mengi yanayohusu utendaji wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jantisa
KERO Responded 
Habari wadau poleni na utekelezaji wa majukumu ya Kila siku katika harakati za kulijenga taifa Kero yangu ya leo inatoka kwa mamlaka inayohusika na usajili wa vizazi na vifo Tanzania RITA RITA...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Hii kero ya kupigiwa kelele na makanisa yawakeshaji inatunyima usingizi. 'Sirikali' mliangalie hili jambo. Tumechokaaa
10 Reactions
60 Replies
2K Views
Wakazi wa Vikunai kata ya Toangoma, wilayani Temeke usafiri wetu umekuwa ni wa kubahatisa na nauli zake hazieleweki. Kwa mfano kuna ruti za Vikunai - Stesheni via Kijichi na ruti ya Vikunai...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Foleni ya Mbagala Rangi 3 ni kero kubwa sana kwa watumiaji wa barabara ya Kilwa Road. Sababu za kuleta foleni zinajulikana kuwa ni daladala. Tafadhali uongozi wa Mkoa tafuteni suluhisho la tatizo...
1 Reactions
4 Replies
617 Views
Vijana wa kata ya kalobe wamejikuta katika hali ya mshangao baada ya uwanja wao wa mazoezi kufanywa njia mbadala ya kupitia magari na vyombo vingine. Hali hii imewafanya vijana awa kushindwa...
0 Reactions
2 Replies
426 Views
Anonymous
KERO 
Wakuu Naomba mnisaidie kupaza sauti kwa Serikali ifanye marekebisho kwenye reli ya Tabora-Mpanda hali ni mbaya mno, Yaani treni imekuwa na huduma za Hovyo Mno, unaandikiwa kwenye ticket treni...
0 Reactions
0 Replies
307 Views
Anonymous
KERO 
Maelezo ya Tatizo: Ndugu wanajamii, napenda kufichua tatizo kubwa linaloendelea hapa Mbezi Beach-Jogoo barabara ya Kerai (kwa Mzee Temu) ambapo baa moja imekuwa ikipiga muziki mkubwa mno usiku...
5 Reactions
10 Replies
713 Views
Anonymous
KERO 
Naomba Serikali isikie kilio chetu sisi wakulima wa zao la Mahindi Nchini hasa nyanda za juu kusini mikoa ya Rukwa, Njombe, Ruvuma. Bei ya mahindi bado ni ya chini mtaani (350-420)ukiacha bei...
2 Reactions
3 Replies
672 Views
Licha taarifa ya baadhi ya viongozi wa Serikali ngazi za juu kusisitiza Wanafunzi wa Shule za Serikali wasirejeshwe nyumbani kutokana na kukosa kuchangia michango, hali ni tofauti kwenye ya Shule...
1 Reactions
1 Replies
947 Views
Back
Top Bottom