KERO Threads

Anonymous
KERO 
Inaonekana kama server za HESLB zimekua compromised kwa sababu kila ukitaka ku log-in kwenye akaunti yako inakataa na nimejaribu kutumia browser tofauti tofauti lakini shida ipo pale pale. Tena...
0 Reactions
7 Replies
578 Views
Habari za muda huu Naomba nitoe taarifa kwaa mamlaka husika waweze kutusaidia raia na Wafanyabiashara wa Buguruni , hususani wa kipande kinachoelekea Buguruni Kwa Mnyamani kuanzia Mataa, maana...
0 Reactions
3 Replies
497 Views
BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU (HELSB)mbona kuverify nida inasumbua sana shida ni nini na itajirekebisha lini?
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Naenda moja kwa moja kwenye hoja yangu Kampuni hii ya usafirishaji ina mambo ya kuudhi sana Kwanza simu zao hawapokei, unaweza kupiga simu 1hr zinaita mara busy mara zinaita mara busy Pili muda...
11 Reactions
140 Replies
6K Views
Anonymous
KERO 
Habari? Mfumo wa AJIRAPORTAL umenizuia kuomba nafasi nyingi sana za kazi kutokana na mfumo wenyewe kushindwa kutambua namna Programs husika kwenye nafasi husika zinavyokuwa zimeainishwa. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
243 Views
Anonymous
KERO 
Heshima yenu wakuu , Rejea kichwa cha habari hapo ,kuna hili jambo limekua sana kwa sasa ,tangu baadhi ya Taasisi kupokea barua ya kufutwa kwa pesa ya likizo maarufu kama mshahara wa 13 kwa mwaka...
0 Reactions
7 Replies
695 Views
Anonymous
KERO 
Mikopo ya kugharimia Elimu ya Juu imekuwa na mchango mkubwa sana kwa Taifa la Tanzania tangu kuanzishwa kwake. Ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya watanzania bado hawawezi kujigharimia...
1 Reactions
4 Replies
563 Views
Anonymous
KERO 
Kwa zaidi ya miezi mitano sasa wahudumu hawajalipwa posho zao na hawajapewa maelekezo yoyote kutoka wizarani au kwa waratibu wa malaria ngazi ya wilaya ambao ndio wasimamizi wao na wakioji...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Kwa sasa Bodi ya mikopo imeweka kipengele cha REFERENCE NUMBER, kwenye sehemu ya Demographic details. Hii imekuwa shida sana, inalazimu uende ofisi za serikali za mitaa uende ukapatiwe barua ya...
2 Reactions
8 Replies
768 Views
Watu wa kimara wanateseka sana na ni mda mrefu sasa sahivi hata mtu akitaka kuhamia kimara na anafanya kazi posta au kariakoo na hana usafiri bnafsi basi anajifikiria mara kumi kumi sababu ya adha...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Waache kutuma jumbe zao zinazokera kila mara bila ridhaa yetu. Tabia hii inaboa sana. Huduma hizi zipo kwenye mfumo wa ESS sasa kuna haja gani kutuma jumbe zao mara kwa mara au kutembelea kwenye...
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Secret person
KERO Responded 
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabili mpaka muda huu na...
2 Reactions
3 Replies
960 Views
Anonymous
KERO 
Naomba Serikali ijenge kituo kikubwa cha daladala katika stesheni ya SGR Dodoma, abiria tunalazimika kutumia gharama kubwa kufika stesheni.
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
RITA inachelewa kutoa vyeti ya kifo vya wazazi, hii imekuwa changamoto kwa sisi ambao wazazi walipoteza maisha miaka mingi iliyopita, wakati huu tunapohitaji kujiunga na elimu ya juu vyeti hivyo...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Anonymous
KERO 
Habari yenu Jamii Forums, naona wadau wengi wamekuwa wakisaidika kupitia jukwaa hili, naomba unipazie sauti Mimi ni muhitimu wa Diploma (ambaye nasubiria kufanya Graduation mwezi December 2024)...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana. Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Kayugumis
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Masasi, nilihamia huku miezi kadha iliyopita, moja ya changamoto ambayo niliikuta huku na wenyeji wanadai imekuwepo kwa muda sasa, ni suala la umeme kukatika mara kwa mara. Huku...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Newala vijijini tumekuwa tukipata changamoto kubwa ya mgao wa umeme huku mamlaka husika zikishindwa kutoa sababu za mgao, kuna nyakati umeme unaweza ukakata hata siku 3 huku...
0 Reactions
1 Replies
279 Views
Umeme ni kero kubwa sana wilaya ya Newala kukaa siku mbili, tatu hata wiki ni kitu cha kawaida bila taarifa yeyote. Tanesco tunaomba sana mliangalie Hili watu wanaumia, biashara hazifanyiki na...
0 Reactions
6 Replies
507 Views
Nyakijooga
DOKEZO KERO 
Kumekuwa na ongezeko la matukio kadhaa ya wizi na upotevu wa mali za abiria ndani ya mabehewa ya Treni ya SGR (Standard Gauge Railway), hasa katika safari za usiku au kwenye vituo vya kati...
2 Reactions
6 Replies
708 Views
Back
Top Bottom