DOKEZO Threads

Hapa Halmshauri kwetu (Rungwe ) Mkoa wa Mbeya kuna baadhi ya wananchi na wafanyabiashara wamekuwa wakitoa huduma ya Zabuni ya kulisha Shule za Sekondari za Serikali, Magereza na Chuo cha ufundi...
0 Reactions
0 Replies
306 Views
Kariakoo (Dar) kwa siku za hivi karibuni kumeibuka wimbi la kubwa la biashara ya simu zilizopachikwa jina kama 'Simu za Mtumba' ambazo uuzwa kwa bei nafuu, simu hizo ni za 'brand' mbalimbali...
9 Reactions
41 Replies
5K Views
Anonymous
DOKEZO 
UTARATIBU UNAOTUMIKA NA PSRS KWENYE MCHAKATO WA USAHILI SIO STAHIMILIVU KWA WASAILIWA, HAUZINGATII GHARAMA ZA MCHAKATO KWA WASAILIWA, NA HAUNA UWAZI KWA WASAILIWA WARUDISHE ONLINE ITASAIDIA...
1 Reactions
0 Replies
244 Views
Habari kutoka Busega Halmashauri ya Busega ya Mkoani Simiyu, imeelezwa kuwa, viongozi na Watumishi wa Serikali wapo kwenye orodha ya kuhujumu uchumi kufuatia kutoa tenda na kufanya minada pasipo...
0 Reactions
0 Replies
229 Views
Baadhi ya walimu wa shule ya msingi waliohamishwa katika shule mbali mbali katika wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamesikitishwa na kauli iliyotolewa na Afisa elimu wa wilaya hiyo kuwa hata...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kipindi nachaguliwa pale Open University nilikuwa najua kuna utaratibu mzuri na kueleweka katika ku-handle vitu vingi vya academic hasa hasa niliposikia asilimia kubwa ya vitu vinafanywa online na...
1 Reactions
0 Replies
905 Views
Habari wanaJF, Kuna haja ya kufanya mabadiliko katika jeshi la uhamiaji, Mara nyingi nmekua naona wanafanya ukaguzi kwenye mabasi tu kama Kuna raia wa kigeni lakini usiku huwa hawakagui. Kuna...
3 Reactions
6 Replies
404 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, kata ya Kimara, mtaa wa Mavurunza kwa Mtolo kanisani, tunasikitika nguzo hii imeisharipotiwa zaidi ya mara mbili kupitia huduma kwa wateja. Kila tukiripoti TANESCO...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais ametangaza kuwa nchi yetu kwa kushirikiana na majirani zetu tunaenda kupitia upya mipaka yetu ya majini na nchi kavu. Hili jambo siyo dogo, ni zito sana na lina potential ya kusababisha...
37 Reactions
128 Replies
6K Views
Rushwa imekuwa kama ugonjwa katika taasisi nyingi za serikali, ambapo kila kitu kinaonekana kuendeshwa kwa mlungula. Bila bahasha, huwezi kupata huduma kwa wakati, na bila "connections," mambo...
2 Reactions
3 Replies
377 Views
Anonymous
DOKEZO 
Ajira mpya kada ya afya halmashauri nyingi hatujapokea fedha za kujikimu toka November 2024. Tunaishi mazingira magumu kutokana na kukosa fedha hizo za kuanzia maisha. Tumetumia gharama kubwa...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za Leo? Naomba kwanza kusema ya kuwa Mimi nilikuwa ni Mwajiriwa wa Kanisa la Anglican Tanzania na nilikuwa nikifanyia Diocese ya Central Tanganyika (DCT) pale Dodoma. Nimefanya nao...
5 Reactions
8 Replies
933 Views
Case study one; Nikiwa pale Nyegezi Bus Terminal niliona vurugu kuanzia getini pa kuingilia abiria, yaani akiwa na box liwe na nguo au dagaa lazima alipie. Ukiwauliza wanakwambia ushuri wa...
0 Reactions
1 Replies
434 Views
Mkurugenzi wa Moshi Manispaa amekabiliwa na malalamiko kutoka kwa madiwani wa manispaa hiyo kuhusu utendaji mbovu wa miradi ya maendeleo, hususan ujenzi wa soko la Mbuyuni. Madiwani hao...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Tajiri Tanzanite
DOKEZO Responded 
Hapo vip!! Uongozi wa kipindi hiki tunaomba iongeze makali kwasababu Wananchi wanateseka na wengi wamekuwa waonyonge wanavyoanza kufuatilia haki zao au huduma katika Ofisi za Serikali...
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Morogoro wanadai kuwa wanakumabana na kizungumkuti katika kudai kurejeshewa pesa yao waliyoilipa kwa ajili ya ada kabla ya Serikali kuwaigizia mkopo wa...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
1: Barabara Mbovu na Mashimo Yasiyozibwa Mara tu unapoingia kupitia geti kuu la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pale mwanzo kabisa,(njia panda ya chuo) hali ya barabara sio nzuri sana . Barabara ina...
0 Reactions
2 Replies
555 Views
Wakuu mamlaka husika fikeni TANESCO SHINYANGA MJINI vibarua wanapitia changamoto sana hakuna mfumo rasmi wa malipo ni miezi miwili hawajalipwa na hawajui watalipwa lini inglieni kati kuboresha...
3 Reactions
8 Replies
487 Views
YAH: MALALAMIKO KWA NIABA YA WANANCHI WA RUSUMO KUHUSU HUDUMA DUNI KATIKA KITUO CHA AFYA RUSUMO Kwa heshima na taadhima, mimi, kwa niaba ya wananchi wa Rusumo, nawasilisha malalamiko yafuatayo...
1 Reactions
5 Replies
515 Views
Kuna maeneo kama ya Tegeta masaiti wiki 3 nyuma Panya road wamepita kwenye nyumba kama 20 hivi na kuiba huku wakijeruhi watu na mapanga. Maeneo ya Mbezi beach Juliana na mtaa wa Mayoa panya road...
1 Reactions
12 Replies
812 Views
Back
Top Bottom