Wanawake acheni kulaumu wanaume wakati tatizo ni ninyi wenyewe

Wanawake acheni kulaumu wanaume wakati tatizo ni ninyi wenyewe

ZINAA IMEKUWA SABABU YA KUONDOKA KWA AMAN YA NDOA....KAMA WASINGEFUNUA HAD NDOA HAKIKA NDOA ZINGEENEA NA ULE MSEMO.....NIFUGE NG`OMBE WA NINI WAKAT NAYAPATA MAZIWA
 
Sasa vipi kwa ambao tushagawa kabla ya ndoa.
Kuna package yetu ya Ushauri??
Kama umegawa kabla ya ndoa maana yake umekubali mwenyewe kuchezewa, ushauri wangu kaa kimya lakini usianze kulalamika mara ooh nimeachwa, mara wanaume hawaoi, mara wanaume hawajielewi, mara ooh wanaume suruali, yanini yote hayo wakati ninyi wenyewe ndiyo mnakubali kuchezewa?
 
Safi sanaa,. Nahuu mstar maana yake JUKUMU HILI alipewa mwanamme ,kwamba mwanamme kichwa hupaswi kuzini.

Ujue biblia kiuhalisia ilikua inamuhesabu mwanamme kama Ndio KILA KITU..na ndo maana wanawake walikua hawahesabiwi sensa.

Mimi nadhan, Wanaume sasa ndo tunapaswa kubeba jukumu la kutozinisha ??? Au ??? .
Hilo liko wazi, logically mwanaume anaweza oa wanawaje kibao wakaishi vyema ila ni kinyume na mwanamke
 
Safi sanaa,. Nahuu mstar maana yake JUKUMU HILI alipewa mwanamme ,kwamba mwanamme kichwa hupaswi kuzini.

Ujue biblia kiuhalisia ilikua inamuhesabu mwanamme kama Ndio KILA KITU..na ndo maana wanawake walikua hawahesabiwi sensa.

Mimi nadhan, Wanaume sasa ndo tunapaswa kubeba jukumu la kutozinisha ??? Au ??? .
Asanty,safi!
 
ZINAA IMEKUWA SABABU YA KUONDOKA KWA AMAN YA NDOA....KAMA WASINGEFUNUA HAD NDOA HAKIKA NDOA ZINGEENEA NA ULE MSEMO.....NIFUGE NG`OMBE WA NINI WAKAT NAYAPATA MAZIWA
Huo ndiyo ukweli wenyewe mkuu. Utafuga ng'ombe wanini wakati maziwa yanapatikana tena bila gharama???
 
Kufuatilia sana maisha ya ndoa au ngono ya watu baki ni ishara ya frustrations za maisha, kukosa kazi, kujidanganya ukuu (delusions of grandeur) na compensation ya vitu vibaya mtu alivyofanya.

Waache wagawe wanavyotaka.

Kitu si chako unataka kuwapangia kwa msingi gani?

Dunia itaendelea tu.

Wakigawa sana au wasipogawa.

Wewe kaa na mkeo na familia yako nyumbani mpange maisha yenu.

La sivyo unaweza kuambiwa una frustrations za kukosa mke umtakaye kwa sababu unaishi dunia ya Wa Taliban tu.
 
Kama umegawa kabla ya ndoa maana yake umekubali mwenyewe kuchezewa, ushauri wangu kaa kimya lakini usianze kulalamika mara ooh nimeachwa, mara wanaume hawaoi, mara wanaume hawajielewi, mara ooh wanaume suruali, yanini yote hayo wakati ninyi wenyewe ndiyo mnakubali kuchezewa?
Heee sasa uanaume suruali unahusika nini na kugawa mapema!!!??
Sawa sitalalamika
 
Safi sanaa,. Nahuu mstar maana yake JUKUMU HILI alipewa mwanamme ,kwamba mwanamme kichwa hupaswi kuzini.

Ujue biblia kiuhalisia ilikua inamuhesabu mwanamme kama Ndio KILA KITU..na ndo maana wanawake walikua hawahesabiwi sensa.

Mimi nadhan, Wanaume sasa ndo tunapaswa kubeba jukumu la kutozinisha ??? Au ??? .
Sawa mkuu lakini pia ukisoma maandiko utaona hakuna mahali imeandikwa mwanaume mzinzi na apigwe mawe, bali ni mwanamke mzinzi. Hii maana yake ni kuwa mwenye jukumu la mwisho kukataa zinaa ni mwanamke.

Na ndiyo maana mwisho wa siku adhabu za kuzini huwa zinamdondokea mwanamke.
 
Kufuatilia sana maisha ya ndoa au ngono ya watu baki ni ishara ya frustrations za maisha, kukosa kazi, ukuu wa kujidanganya (delusions of grandeur) na compensation ya vitu vibaya mtu alivyofanya.

Waache wagawe wanavyotaka.

Kitu si chako unataka kuwapangia kwa msingi gani?

Dunia itaendelea tu.

Wakigawa sana au wasipogawa.

Wewe kaa na mkeo na familia yako nyumbani mpange maisha yenu.

La sivyo unaweza kuambiwa una frustrations za kukosa mke umtakaye kwa sababu unaishi dunia ya Wa Taliban tu.
Mkuu soma kwanza uzi uelewe, mimi sikatai wao kugawa, ninachokipinga ni wao kugawa vidudu vyao huko na kisha kuja humu JF na kuanza kulalamika eti wanachezewa. Sasa wagawe wenyewe kwa hiari yao halafu waje kutulalamikia sisi wanaume kuwa tunawachezea?
 
Sawa mkuu, wakikubali kuchezewa basi wakae kimya, siyo wanakuja humu na kuanza kulalamika, ooh nimeachwa, ooh wanaume wanatabia mbaya, ooh wanaume hawajielewi, hivi ni nani ambaye hajielewi, yule anayekubali kuchezewa au yule anayechezea??[/
Neno.
 
Sasa vipi kwa ambao tushagawa kabla ya ndoa.
Kuna package yetu ya Ushauri??
Nyie muendelee kutubembeleza tu. Muendelee kushikiria mlipotoa mzigo[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] .

Muonyeshe mapenzi, muonye kujali, muonyeshe juhudi, muonyeshe kujitoa.

Mkifanya hivyo, Uliye naye ataanza kuwaza kuwa wewe ni mke bora (na abadili mawazo hata kama hakupanga kukuoa wewe).
 
Na kwa nini utumie muda mwingi kuandaa ghetto au lodge ,halafu unamuita kwa kisingizio cha kuongea kawaida akishafika unavua singlend na suruali unasingizia joto, mara inaanza vita mpaka chupi inachanwa,wanaume wabaya,ukikataa wito masimango kila dakika ,mungu ndo anajua ambacho huwa mnawaza
Kwani wewe huna akili kichwani, unaendaje "ghetto" kwa mwanaume ambaye bado hajakuoa? Au utaendaje Lodge na mwanaume ambaye unajua wazi kabisa ni nini anataka kwako? Ukikubali kuingia na mwanaume chumbani maana yake ni wewe mwenyewe umejirahisisha sababu ya ukahaba wako mwenyewe.

Tamaa zenu ndizo zinafanya mnachezewa hovyo hovyo.
 
Mkuu soma kwanza uzi uelewe, mimi sikatai wao kugawa, ninachokipinga ni wao kugawa vidudu vyao huko na kisha kuja humu JF na kuanza kulalamika eti wanachezewa. Sasa wagawe wenyewe kwa hiari yao halafu waje kutulalamikia sisi wanaume kuwa tunawachezea?
Hizo ni bargaining tactics.

Katika Darwinian competition wanaruhusiwa kutumia every bargaining chip.

Inasaidia kufanya kizazi kijacho kiwe na akili zaidi.

Kama vile uongo wa wanaume katika kutongoza.

Aliyeuza dhahabu bandia kapewa hela bandia.

Mambo yanajiseti. Bongo Dar es salaam.

Kajisemea Profesa J.
 
Kwani wewe huna akili kichwani, unaendaje "ghetto" kwa mwanaume ambaye bado hajakuoa? Au utaendaje Lodge na mwanaume ambaye unajua wazi kabisa ni nini anataka kwako? Ukikubali kuingia na mwanaume chumbani maana yake ni wewe mwenyewe umejirahisisha sababu ya ukahaba wako mwenyewe.

Tamaa zenu ndizo zinafanya mnachezewa hovyo hovyo.
Mbona usipoenda anaanza masimango,oooh wewe hunipendi,una mtu unayemsikiliza,una mpenzi mwinginee! Pamoja na kukupenda kote unakataa kunipa kampani! Malalamiko kibao,ukimwambia si usubiri kwanza unioe ndo ufaidike kwanza!ooohh Mimi nina hisia bwana,nakula nashiba na ambaye anaweza kunitatulia hiyo shida ni wewe au una mpango nichekupekee! Hivi kwa style hii unategemea nini

Wanaume yangu macho
 
Back
Top Bottom