chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,557
- 28,433
Hamna hesabu zozote zilizopigwa..Mkuu umesema kweli..
Kuna mambo chungu nzima yanataka immediate attention lakini serikali inajifanya haiyaoni..
Serikali inachezea sana pesa za wananchi.
Hamna hesabu zozote zilizopigwa..Mkuu umesema kweli..
Kuna mambo chungu nzima yanataka immediate attention lakini serikali inajifanya haiyaoni..
Serikali inachezea sana pesa za wananchi.
mbona unamawazo madogo sana ndugu yanguTanzanite inachimbwa chini ya ardhi ww unaweka ukuta juu ya ardhi
QUOTE]Naona kila afanyalo bwana mkubwa sio jema. Ama kweli urais ni zaidi ya mzigo!
Hata akifanya wanayotaka afanye bado wanampinga tu. Rejea kauli ya mh.Msigwa kuhusu serikali kugharamia matibabu ya mh.LissuQUOTE]
sijui tu tatizo gani sisi wapinzani aseee yaaan watu wanataka afanye wanayotaka wao
hawa watu wana matatizo ya akili mkuuHata akifanya wanayotaka afanye bado wanampinga tu. Rejea kauli ya mh.Msigwa kuhusu serikali kugharamia matibabu ya mh.Lissu
Ukuta utajengwa juu lakini madini yanachimbwa chini, hapo inakuwaje??Ni wazo zuri kujenga ukuta,lakini nina wasi na idadi ya kuta zitakazojengwa kulinda madini, kwani nchi yetu kila jembe unalochimba unakutana na madini. Mwadui kuna ngome. Migodi ya dhahabu haiingiliki, kwa ngome. Kinacho kula madini yetu si ukosefu wa ukuta, ni sera sheria mbovu za madini. Hata tunapogundua kuibiwa tunanyamaza. India imeshamiri viwanda vya tanzanite, wakati haina shimo hata moja la kuchimba tanzanite. Tuna balozi huko miaka. Ni lini alihoji au kupeleka mashtaka mahakamani kwa niaba yetu? Kama nchi mbona hatujaenda UN kulalamika na kudai tulipwe fidia na mataifa hayo wezi? Bila sera na sheria, ukuta utajengwa, na viwanda vya tanzanite nje vitashamiri, kwani wezi ndio tunaopewa kulinda.
Pumbafu ni wewe na mume wako pamoja na hilo dikteta lenuWanaokutuma uje humu kuwahadaa watanzania yakuwa serikali yetu Ni ya kidikteta wanakupoteza njia acha kabisa Na usirudie tena pumbafu mkubwa kabisa
Wapiga madili mnatusumbua mianya yote ya wizi iko blockedPumbafu ni wewe na mume wako pamoja na hilo dikteta lenu
Wewe uko Mererani? Usiongee usilolijuaHabari wakuu ...
Huu bado ni muendel ezo wa kile tunachokilalamikia kila wakati kwamba pesa za wavuja jasho zinatumika bila mipango na hakuna wa kuhoji.
Tanzanite watu wameichimba yote yamebakia mashimo matupu yanayojaza maji kama mabwawa ya nini sasa kutumia pesa za watanzania kuzungusha ukuta kuzunguka mashimo ambayo hakuna madini yameshachimbwa yote na waliochimba wameshaondoka?
Naomba Rais asitishe hili zoezi ambalo halina maslahi yoyote kwa Watanzania na wananchi wa eneo husika na badala yake pesa hizo zitumike kuwapelekea wananchi maji, hospitali , umeme na huduma za msingi hapo atakuwa kafanya la maana.
Nawasilisha.
Ndio, umejuaje sipoWewe uko Mererani? Usiongee usilolijua
Nitahamia kwenye masaburi yako kwanza kabla sijaenda kenyaUtakufa na kihoro mshamba wewe unamuonea wivu mwanamme mwenzio jpm ndiyo rais wetu Kama vp hamia Kenya bwege kabisa