Mzee hajui hata vitu anavyozungumzaSINA UHAKIKA KAMA BARABARA IMEJENGWA NA CCM, NINACHOFAHAMU BARABARA HUJENGWA KWA KODI ZA WANANCHI WALA SI KWA MICHANGO YA KADI ZA CCM ZA TSH 1500.
Hatuongezi mtu miaka hapa, kampeni zako peleka lumumbaHongera kwake Rais Magufuli. Mungu akitujalia tukapata Marais kama Magufuli kwa Miongo mitatu mfulizo Nchi hii itapiga hatua kubwa sana.
Ila tukae tukijua Mataifa ya magharibi hawapendi kabisa Taifa la kinyonge lielekee kujikomboa na kiuchumi na kujitegemea katika nyanja zote.
Tuungane na Rais Magufuli bila kujali makundi yetu mbalimbali tuweke Utanzania mbele.
Hivi urusi kuna democracy hiyo unayoisema?Dictators wote duniani walitumia sababu ya kuendeleza watu ili kuua watu hao hao...maendeleo yanayokuja at the expense of democracy sio maendeleo sustainable...
Usitumie mfano mmbaya kujustfy ubaya mwingine....Hivi urusi kuna democracy hiyo unayoisema?
Perfect, anajishitukia! Kuwa Lisu ameumizwa na "tunaopigana" nao kwenye madini lakini wanasingizia serikali ili watuchonganishe!Jana nilimsikia akisema wanaopambana nao kuhusu madini yetu wanataka kutuchonganisha sisi kwa sisi ili wao waendelee kuneemeka huku akisema shida yetu sio vyama yetu kulumbana bali kupambana na wanaotuibia
Je anataka kutuambia serikali yake haihusiki na shambulio la Tundu Kisu?
Akili kichwani kwako
Nafikiri logically hii ni nzuri tuwaite Scotland Yard au TISS iwaumbue hawa wachonganishi tuwakamatePerfect, anajishitukia! Kuwa Lisu ameumizwa na "tunaopigana" nao kwenye madini lakini wanasingizia serikali ili watuchonganishe!
Wamekataa kuwaita, why? gharama si zao, kwa nini wakatae kama wana nia nzuri!Nafikiri logically hii ni nzuri tuwaite Scotland Yard au TISS iwaumbue hawa wachonganishi tuwakamate
Wazo la Zitto limewahi kumjia bwana mmoja kama njili watu wakashangaa wengine wakasema lisemwalo lipo kama halipo liko njiani linakuja kwa mwendo wa madahaJamaa sio mwanasiasa kabisa na pindi anapotaka kudefend kitu ndio huwa anaharibu kabisa au kufanya umma ujue ukweli bila yeye kujua. Labda maneno ya Zitto yanaweza kumtafsiri jamaa vizuri japo mimi sio muumini wa Zitto
Nenda uganda ukapate history ya idd Amini au Ujerumani kwa Hittler au magogoni ukaonane naeEbu naomba unipe definition ya dictatorship ndiyo tuendelee Na mengine
Nakijua Chama kile ambacho mwanachama akitaka kugombea nafasi za juu lazima apatwe na majanga.unaijua serikali wewe ngedere?