Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Nitaleta update zaidi. Wanawake kuweni sana makini...
9 Reactions
63 Replies
984 Views
Urafiki wa Azam na Simba ni mkubwa kuzidi watu wanavyodhani. Azam yupo tayari ajidhuru ili Simba anufaike. Azam atajipigisha mechi 1 hususan huko Geita na huku mashoga wao Simba wakishinda na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita...
7 Reactions
34 Replies
854 Views
Daaah, Inakata stimu kwa kweli. Yaani hata mama sijamrushia muamala. Yaani hata kuhemea bado napotezea ili mshahara upoe kwanza. Yaani hata hela haijampumzika kwenye akaunti. Yaani hata mwenyewe...
9 Reactions
8 Replies
2K Views
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu . Au...
6 Reactions
24 Replies
228 Views
Nahitaji mwanasheria/wakili Mbobezi Ambae atanisaidia kuendesha mashtaka yangu mahakamani. Kesi ni Ya WIZI ila wizi ambao ndugu wanataka ugeuza uwe madai tumalize nnje ya mahakama ila hawafiki...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Wadau hamjamboni nyote Taarifa kamili hapo chini ... 🚨 𝗞𝗠𝗖 𝗪𝗔𝗜𝗚𝗢𝗠𝗘𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗦𝗖 Wameandika barua bodi ya ligi, wanadai kanuni imekiukwa. Wamekataa kwenda Arusha. "Ukisoma kanuni zinakwambia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nyie Watanzania wenzangu ambao kutwa napata taarifa za kujiua kwenu kwa kukata Tamaa ya Maisha au mnataka sasa na sisi (hasa mimi GENTAMYCINE) niwapeni Historia yangu kubwa ya mapito makubwa...
14 Reactions
25 Replies
297 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
42 Reactions
51K Replies
3M Views
Hili suala la Lisu kuchangiwa gari nimeona lisipite hivi hivi. Pamoja na ubovu wote wa Samia ila wafuasi wa chadema ni wanafiki sana aisee. Mpaka leo wiki inaisha Lisu hajafikisha hata sh...
1 Reactions
6 Replies
188 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,270
Posts
49,686,435
Back
Top Bottom