Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (06877446471) Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi. Namba zangu za simu ni 0687746471...
17 Reactions
218 Replies
8K Views
Habari wakuu, naomba kujua Sheria inasemaje kuhusu adhabu kama utashitakiwa na kampuni kwamba umeisababishia hasara na kampuni kweli ikawa na ushahidi na ukapatikana na hatia kisheria. Natanguliza...
1 Reactions
9 Replies
41 Views
Kwa mnamjua penina ana grocery hapo goba center pembeni ya baa ya trinnidad...kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake... Nitaleta update zaidi..! Wanawake kuweni sana...
6 Reactions
24 Replies
200 Views
Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni! Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona...
3 Reactions
15 Replies
542 Views
Afrika watu wanafanya kazi ngumu sana lakini bado kisukari ni tishio, nilikuwa Dodoma kukawa na upimaji wa Bure Cha kushangaza vijana below 40 wengi tu wana sukari. Nikazama gugo kudadisi...
9 Reactions
96 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin? Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin? Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa...
1 Reactions
12 Replies
233 Views
  • Sticky
Full name: Liverpool Football Club Nickname(s): The Reds Founded: 3 June 1892 League: Premier League Website: LiverpoolFC.com Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
124 Reactions
143K Replies
7M Views
Habari wakuu, natafuta kazi ya permanent au temporary. Nina certificate ya laboratory technician level ll, pia nina experience ya miaka 2 ya quality control, quality assurance, lab technician na...
4 Reactions
3 Replies
63 Views
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu . Au...
5 Reactions
13 Replies
126 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,259
Posts
49,686,131
Back
Top Bottom