Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna kitu sijakielewa bado, Iran ni Taifa la kiislamu, Rais ameuwawa na chopa jumapili, lakini mazishi yatafanyika Alhamisi, wakati deen inasema muislamu akifa azikwe haraka tena hukohuko...
9 Reactions
85 Replies
2K Views
Madaraka hulevya, usimamini mtu isipokuwa Mungu! Msikilize bashiru Ally kabla ya kuwa na madaraka https://x.com/i/status/1793231455981805944 na baada ya kuwa na madaraka...
0 Reactions
7 Replies
176 Views
Umofia kwenu bandugu wote kwenye hiki kilinge chetu cha kujidai. Nina ombi kwenu wadau. Nina mpango wa kuandaa tamasha la stand up comedy huku mkoa ninaoishi, nimeiona hiyo fursa naamini nitapiga...
2 Reactions
1 Replies
33 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
273 Replies
32K Views
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar. Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha...
4 Reactions
7K Replies
202K Views
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Nitaleta update zaidi. Wanawake kuweni sana makini...
9 Reactions
71 Replies
1K Views
Wengi hawamjui lakini Valentine Strasser alikuwa rais wa Sierra Leone kati ya Mwaka 1992 mpaka 1996, na aliweka rekodi ya kuwa kiongozi mwenye umri mdogo zaidi kuingia madarakani akiwa na miaka...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua rasmi eneo la Urafiki na majengo yaliyokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China (Tanzania - China Friendship Textile CO LTD) Jijini Dar es...
7 Reactions
94 Replies
3K Views
Kama kampuni ni yako mwenyewe au umeajiliwa tu aisee kuwa makini sana. Watu hawa ni wepesi sana kwenda kwa sangoma. Yani ni chap tu kama anaenda sokoni. Huko ni mwendo wa kuosha nyota na...
3 Reactions
4 Replies
111 Views
Daaah, Inakata stimu kwa kweli. Yaani hata mama sijamrushia muamala. Yaani hata kuhemea bado napotezea ili mshahara upoe kwanza. Yaani hata hela haijampumzika kwenye akaunti. Yaani hata mwenyewe...
14 Reactions
16 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,274
Posts
49,686,492
Back
Top Bottom