Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa . Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose...
8 Reactions
29 Replies
387 Views
WAnaume wa jf mnakeraa. Mnadhani wadad humu wao hawat00000mbw , wanakuja huku kutafuta mtu au watu wakumtzzzxmba sasa mjue kwa upande wangu . Njee ya hapa napewa haki yangu ya msingi tena...
2 Reactions
4 Replies
12 Views
Saa tatu hii Korogwe hapa abiria wapo ila Gari zinaenda kulazwa madereva wanawahi nyumbani na abiria wapo vituoni Huu mradi unauliwa na wafanyakazi wenyewe alafu mtu anasema wanapata hasara...
1 Reactions
10 Replies
92 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
156K Replies
8M Views
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha. Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi...
0 Reactions
7 Replies
418 Views
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani. Mnapiga na picha na...
13 Reactions
92 Replies
2K Views
UWEPO WA KIMBUNGA “IALY” KATIKA BAHARI YA HINDI KASKAZINI MWA MADAGASCAR Dar es Salaam, 17 Mei 2024: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika...
1 Reactions
19 Replies
579 Views
Ndugu wana JF - Jukwaa la Siasa; Mjadala wa muungano tata wa Tanganyika na Zanzibar (1964) unaendelea tena leo.... Na kwa kweli mjadala huu haupaswi kuishia njiani isipokuwa tu wote tumeelewana...
7 Reactions
158 Replies
3K Views
Nilishawahi kuletaga thread ya mimi kuwa na hisia zinazonichanganya na wakati mwingine nazitumia kutabiri matokeo ya jambo fulani. Kama mwezi mmoja kabla ya tukio la October 7 mdogo wangu wa...
2 Reactions
14 Replies
321 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
18 Reactions
405 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,239
Posts
49,656,175
Back
Top Bottom