Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress...
15 Reactions
64 Replies
1K Views
Wanaukumbi. Kwa Upendeleo: 13 Dhidi ya: 2 Mahakama ya kimataifa ya uhalifu pia ilitoa kauli zifuatazo: ✅ Mahakama inabainisha kuwa hali ya kibinadamu huko Rafah ni janga baada ya wiki za...
0 Reactions
37 Replies
1K Views
Wakuu si vibaya kupeana mikakati ya kukabiliana na janjajanja za hawa wenzetu wenye mawazo kutudidimiza kwa faida zao. Maana na wao kila uchao wana mbinu mpya. Mimi kwakweli nimeanza kuwaogopa...
1 Reactions
11 Replies
85 Views
Habari Wakuu. Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara...
11 Reactions
77 Replies
851 Views
Russia decapitated:Russia Early-Warning (Nuclear) Missile Radar ATTACKED MAY 24, 2024 One of Russia's absolutely key over-the-horizon, nuclear-early-warning radar sites has been hit by drone...
0 Reactions
2 Replies
11 Views
https://youtu.be/Cvpm7ckpd_M?si=XZrDOzXkE3ZHrsBO Habari wadau kabla hujaanza kusoma vaa earphone hapo bonyeza huwa wimbo kenny g nimeu pin ili ukusadie kuzama kwenye kisa soma soma kisa...
4 Reactions
24 Replies
625 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
112 Reactions
383K Replies
11M Views
Habari Zenu Ndugu Zangu wa Jamii Forums, Mimi Ni Kijana Mwenye Umri wa Miaka 28 Naishi Chanika Dar es salaam, Ninachangamoto Ya Kutafuta Ajira Ndugu zangu Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne Ngazi Ya...
2 Reactions
3 Replies
5 Views
Wakuu kuna fundi, Amefanya Wiring kwenye nyumba ila kuna kitu naona kama ni kigeni naombeni msaada kujua kama ni sawa au Kuna shida. Kwa kawaida switch Huwa na matundu Matatu tundu moja juu na...
1 Reactions
12 Replies
151 Views
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili...
4 Reactions
12 Replies
857 Views

FORUM STATS

Threads
1,857,064
Posts
49,705,048
Back
Top Bottom