Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

ZIJUE FAIDA ZA MAFUTA YA SAMAKI (FOREVER ARCTIC SEA) Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Haya ni mafuta ya samaki ambayo yametengenezwa na samaki Aina ya Salmon anayepatikana katika bahari ya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya...
3 Reactions
21 Replies
304 Views
Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume...
7 Reactions
27 Replies
339 Views
Mara nyingi kwenye Bible utakuta imeandikwa " Ili andiko la Nabii fulani litimie" Ngoja tuone Kiroho Zaidi Nawatakieni Sabato njema 😀😀
2 Reactions
11 Replies
234 Views
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama...
8 Reactions
326 Replies
5K Views
Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe...
16 Reactions
194 Replies
4K Views
Baada ya Serikali kupitia pesa za walipa kodi kuweza kujenga stand kubwa ya mabus ya magufuli mbezi mwisho, na pia Serikali tumehamua kwa makusudi shughuli zote za mabus na abiria kuruhusu...
1 Reactions
2 Replies
13 Views
Kuna tetesi kuwa serikali iko mbioni kuwapandisha madaraja walimu walioajiriwa miaka ya 2014 na 2015 ambao walikutana na mkono wa chuma wa JPM. Kama ni kweli, naona kabisa ni maandalizi ya...
16 Reactions
87 Replies
11K Views
Kuna chawa , kuna kada,kuna mwanaharakati ila politics ni kifo cha mende, au popo kanyea sinia la wali, politics upside down ,mjinga anajiita mwerevu,mwerevu anaitwa mjinga 🤣🤣🤣🤣, choicevariable...
2 Reactions
33 Replies
299 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,912
Posts
49,644,647
Back
Top Bottom