Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Natumai wote mnaendelea vizuri na kwa ambao mko na changamoto Mungu awafanyie wepesi mrudi kwenye hali zenu za kawaida nawaombea🤲🏽🤲🏽.. Najua sio jukwaa husika lakini nimeliweka hapa kwasababu ni...
16 Reactions
40 Replies
182 Views
Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee...
8 Reactions
27 Replies
339 Views
Kuna kasumba imejengeka ambayo inaweka classes za watu kulingana na Mkoa wanakotokea. Mathalani Mikoa ya Business Class (VVIP) ,Hawa Hujiona superclass na kwamba wanastahili attention Dar Arusha...
9 Reactions
89 Replies
847 Views
CHADEMA WAMKALIA KOONI LISSU NI MNAFIKI AOMBE RADHI - ASIJITOE AKILI Kamati kuu CHADEMA imemuhoji Makamu Mwenyekiti na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Tundu Lissu kwa kuudanganya Umma kuwa...
10 Reactions
77 Replies
2K Views
Leo katika dimba la Jamhuri Mjini Dodoma mbumbumbu fc/Mikia fc/ Tatu madogo fc watakuwa wanapepetana na wenyeji wao Dodoma jiji katika mechi ya kukamilisha ligi kwani bingwa ashapatikana tayari...
1 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha. Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa...
8 Reactions
1K Replies
40K Views
Leo mbumbumbu fc wako uwanjani dhidi ya Dodoma jiji lakini mambumbumbu yapo kimya tu hata kuanzisha uzi wa kutuhabarisha kuhusu hii mechi hayataki yamekua kama Mwasi kitoko ni mwendo wa kuzira tu.
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Mwenyekiti wa Chadema amesema Chadema haioni faida ya Demokrasia Wapigakura wanachagua Viongozi wanaowataka lakini mifumo inaamua vinginevyo kwahiyo Viongozi hawana KIBALI cha Mungu Katika...
3 Reactions
5 Replies
6 Views
  • Poll
Mara nyingi tunajiona tuko salama, tunafikiri mabadiliko, kanuni, sheria za kigandamizi zinazofanywa na watawala hazituhusu sisi hasa hawa watumishi wa uma; watu wa magereza, wanajeshi, maaskari...
3 Reactions
15 Replies
363 Views
Wakuu, baada ya taharuki iliyotokea kuhusu Serikali kutoa idhini ya kuhesabiwa kwa Wanafunzi na Walimu waislamu Mashuleni naona imetoa zuio kwa kibali hicho. Hadi sasa bado haijajulikana kwanini...
1 Reactions
43 Replies
920 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,593
Posts
49,635,636
Back
Top Bottom